Mwanza kwetu pia
Senior Member
- May 25, 2021
- 104
- 150
Habari zenu wana Jamiiforums, poleni na majukumu ya kutwa nzima.
Bila kupoteza muda, ugonjwa wa Corona baada ya kuonekana kutokuwa kwenye mjumuisho wa magonjwa hatari yanayotambulika na shirika la afya dunia yaani WHO,
Hivyo WHO waliamua kuuingiza kwenye orodha ya magonjwa hatari na kuutafutia jina Covid-19.
Hivyo nikiwa karibu na vyombo vya habari Kama redio nikiwa nasikiliza taarifa huwa nasikia Covid-19 inaitwa Uviko 19 na viongozi wa kiserikali na pia watangazaji wa stations, na hili neno sijwahi kulisikia kabla Corona haijapamba moto,
Swali langu, je hili jina limetoka wapi au walikaa viongozi wakalitunga?
Au mimi tu ndio sijui lugha labda maana ya Covid kwa Kiswahili ni Uviko hivyo waliamua kuongeza kwa mbele namba 19,
Mnaoelewa mnifahamishe nami nielewe duku duku moyoni mwangu liishe la kujiuliza na jibu sipati.
Bila kupoteza muda, ugonjwa wa Corona baada ya kuonekana kutokuwa kwenye mjumuisho wa magonjwa hatari yanayotambulika na shirika la afya dunia yaani WHO,
Hivyo WHO waliamua kuuingiza kwenye orodha ya magonjwa hatari na kuutafutia jina Covid-19.
Hivyo nikiwa karibu na vyombo vya habari Kama redio nikiwa nasikiliza taarifa huwa nasikia Covid-19 inaitwa Uviko 19 na viongozi wa kiserikali na pia watangazaji wa stations, na hili neno sijwahi kulisikia kabla Corona haijapamba moto,
Swali langu, je hili jina limetoka wapi au walikaa viongozi wakalitunga?
Au mimi tu ndio sijui lugha labda maana ya Covid kwa Kiswahili ni Uviko hivyo waliamua kuongeza kwa mbele namba 19,
Mnaoelewa mnifahamishe nami nielewe duku duku moyoni mwangu liishe la kujiuliza na jibu sipati.