Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,729
Comprehension bila shaka...kama Compression ipo naomba kusahihishwa.Dah! Haya mambo ndo yalisababisha nipate Kiswahili "C" haya!
Ya-wa tena?!
Ashukuriwe ambae alileta mambo ya kusoma vitabu na kwenda kutirika kwenye paper manake hadi namaliza Form IV, ilikuwa nikishasoma compression na kujibu maswali, kisha nikienda kwenye Fasihi, nikimaliza tu; huyoooo, nasepa zangu na mambo sijui ya tungo changamano sijui nyambulisha Kiima na Kiarifu, sijui mofimu (hivi ndo kinini hiki?!) nawaachia wenyewe coz' always hizo parts 2 zilikuwa zinanihakikishia C!!