unaniangusha mzee huyo ni story nyingineKafanyaje, ni nani yeye (anaumaarufu gani) , kiukweli kabisa simfaham
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine humu JF ni form four LEAVERSunaniangusha mzee huyo ni story nyingine
Ila nadhani alipata pensheni kubwa sana baada ya kustafu napenda anavyozungumzaMimi ni rainfred masako Wa ITV
Nasikia ni mlevi sana,nishawahi kumuona maeneo ya mbagala anaenda kazini kuonekana kwenye kideo kwa mguu Wa tatu na kupanda daladala,IPP hawakuthamini mchango wake inauma sana aisee basis sawa.
Mbona Mimi ni LA SABA Ila namfahamu,na ninajua vitu Vingi vya ulimwenguni kuliko wenye degree za kupewa😀😀😀
Anakipaji kikubwa sana cha utangazaji.Ila nadhani alipata pensheni kubwa sana baada ya kustafu napenda anavyozungumza
Walevi watu wazima hawathamini magari.Mimi ni rainfred masako Wa ITV
Nasikia ni mlevi sana,nishawahi kumuona maeneo ya mbagala anaenda kazini kuonekana kwenye kideo kwa mguu Wa tatu na kupanda daladala,IPP hawakuthamini mchango wake inauma sana aisee basis sawa.
Kwanini wazazi wako wamekuacha uwe kwenye mitandao katika umri huo mdogo?Kafanyaje, ni nani yeye (anaumaarufu gani) , kiukweli kabisa simfaham
Sent using Jamii Forums mobile app