Neno moja kwa Kocha wa Taifa Stars baada ya mechi ya leo dhidi ya Burundi

The Humble Dreamer

JF-Expert Member
Oct 12, 2015
7,440
10,232
Wakuu Salaam:

Mechi kati ya Tanzania na Burundi imeisha kwa Tanzania kufumuliwa bila huruma goli 1 kwa mtungi.

Goli hilo limefungwa dk ya 85 na Saidi Ntigamasabo.

Wakuu kuna kocha kweli pale Stars?

Mi nafikiri hii timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itolewe kwenye shirikisho la FIFA kwasababu hakuna kitu inafanya kwenye mpira.

Wewe unaonaje?
 
Wakuu Salaam:

Mechi kati ya Tanzania na Burundi imeisha kwa Tanzania kufumuliwa bila huruma goli 1 kwa mtungi.

Goli hilo limefungwa dk ya 85 na Saidi Ntigamasabo.

Wakuu kuna kocha kweli pale Stars?

Tupia chochote kuhusu hii timu!

Mi nafikiri hii timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itolewe kwenye shirikisho la FIFA kwasababu hakuna kitu inafanya kwenye mpira.
samata no,nado no, msuva no ndaragije out
 
Wakuu Salaam:

Mechi kati ya Tanzania na Burundi imeisha kwa Tanzania kufumuliwa bila huruma goli 1 kwa mtungi.

Goli hilo limefungwa dk ya 85 na Saidi Ntigamasabo.

Wakuu kuna kocha kweli pale Stars?

Mi nafikiri hii timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itolewe kwenye shirikisho la FIFA kwasababu hakuna kitu inafanya kwenye mpira.

Wewe unaonaje?
goli 1 ndio kufumuliwa bila huruma? nyie ndio waandishi uchwara
 
Sababu za Kufungwa,
1) Kocha kujaribisha wachezaji Hawa ni wale wapya. David Mapigano Kisu anaeza kua mzuri na Clean Sheet zake nne za ligi kuu vs kina Prison sijui. But Uzoefu hana.
2) Kocha kung'ang'ania Wachezaji. Nchimbi na Nado hawana Number hata kwenye Clubs zao, lakini Kocha bado anawapanga tu
3) Uwanja kuharibiwa na Chama Tawala. Hii inasababisha hata wachezaji kushindwa kucheza vizuri.
4) Kadi ya Mkude. Huyu jamaa ana usela-mavi. Mechi ya Kirafiki unakomaa kubishana namna hii. Ukute hata nae alibet mechi iwe na Red card
5) Refa. Nadhani kaingia akiwa "tingasi"
6) Formation ya Kocha nayo imetuangusha. Mkude, Ndemla na Fei Toto hawa ni viungo wa kati na wote wameanza, means kuna mmoja hapa kachukua nafasi ya Number 10. Ina maana alidhamiria kukaba zaidi kuliko kufunga.
 
Wakuu Salaam:

Mechi kati ya Tanzania na Burundi imeisha kwa Tanzania kufumuliwa bila huruma goli 1 kwa mtungi.

Goli hilo limefungwa dk ya 85 na Saidi Ntigamasabo.

Wakuu kuna kocha kweli pale Stars?

Mi nafikiri hii timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itolewe kwenye shirikisho la FIFA kwasababu hakuna kitu inafanya kwenye mpira.

Wewe unaonaje?
Uwanja umetiwa janaba na ccm unategema nn?
 
Sub za ovyo sana kafanya, yaan zoteeee. Kila sub aliyofanya ilikuwa inapunguza makali yetu
 
Wakuu Salaam:

Mechi kati ya Tanzania na Burundi imeisha kwa Tanzania kufumuliwa bila huruma goli 1 kwa mtungi.

Goli hilo limefungwa dk ya 85 na Saidi Ntigamasabo.

Wakuu kuna kocha kweli pale Stars?

Mi nafikiri hii timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itolewe kwenye shirikisho la FIFA kwasababu hakuna kitu inafanya kwenye mpira.

Wewe unaonaje?
Taifa Stars itakuja kuwa timu nzuri sana na itakayokuwa inashirki kila fainali za AFCON na WC endapo tu atatokea jasiri wa kuziua na kuzimalizia mbali zife huko timu za Simba na Yanga - basii!
 
Back
Top Bottom