Neno moja kwa huyu mtu

HB.com

JF-Expert Member
Oct 19, 2015
607
638
Sema neno lolote kwa hili jembe
Muammar-Gaddafi-Net-Worth-1.jpeg
 
Alitaka kuangamiza Tanzania kwa kutuma majeshi yake wakati wa vita ya IDD amini. Hajawahi kuwa rafiki mzuri wa nchi za kiafrika alikuwa na ka unafiki fulani hata misaada yake ilikuwa na uwalakini wa mrengo fulani ama masharti fulani
 
Shujaa wa kweli aliyezimwa na mabeberu ili wainyonye africa
Shujaa kwako.
Ndugu zetu watanzania aliowaua pamoja na Idd Amin tutasemaje? He was an opportunist ambaye alitaka asifiwe. Na alimpenda Amin sababu walifanana kwa kila hali. Kuua, kudamiza watu wao na hasa alitaka Africa nzima iwe ya waislam bila kujua dini peke yake haileti maendeleo.
Ile ndege aliyotuma watu wake waplant bomu si ilimghalimu mpaka alipokubali kulipa kikombozi na Blair kwa ujinga wake akarejesha urafiki naye?

Kumbuka alipovalia njuga lile swala la umoja wa Afrika ila akataka yeye eti awe ndiye rais, wengine walipokataa si akaamua kuunda lile la waarabu. Yule alikuwa na kichaa kichwani. Alipiga marufuku pombe lakini siku alipouawa, nyumbani kwake walikuta kila aina ya kileo.
 
Shujaa kwako.
Ndugu zetu watanzania aliowaua pamoja na Idd Amin tutasemaje? He was an opportunist ambaye alitaka asifiwe. Na alimpenda Amin sababu walifanana kwa kila hali. Kuua, kudamiza watu wao na hasa alitaka Africa nzima iwe ya waislam bila kujua dini peke yake haileti maendeleo.
Ile ndege aliyotuma watu wake waplant bomu si ilimghalimu mpaka alipokubali kulipa kikombozi na Blair kwa ujinga wake akarejesha urafiki naye?

Kumbuka alipovalia njuga lile swala la umoja wa Afrika ila akataka yeye eti awe ndiye rais, wengine walipokataa si akaamua kuunda lile la waarabu. Yule alikuwa na kichaa kichwani. Alipiga marufuku pombe lakini siku alipouawa, nyumbani kwake walikuta kila aina ya kileo.
Kumbe. Pombe na Hapo waliikuta?
Wazungu bwana!
 
Kumbe. Pombe na Hapo waliikuta?
Wazungu bwana!
Mbona umesema wazungu? Waliokuta pombe ni walibya wenyewe waliomuua. Ghadaffi hakuuawa na watu wa nje ni wenyewe kwa wenyewe. Nenda Utube uangalie jinsi walivyomtoa kwenye karavati alikokuwa amejificha.
 
Mbona umesema wazungu? Waliokuta pombe ni walibya wenyewe waliomuua. Ghadaffi hakuuawa na watu wa nje ni wenyewe kwa wenyewe. Nenda Utube uangalie jinsi walivyomtoa kwenye karavati alikokuwa amejificha.
Hilo nalielewa. Wazungu wanafanya kila kitu kionekane namna watakavyo na bila kujua tumefata hivyo hivyo.. eg kufikiri, kuelewa, na kuchambua mambo.
Wapinzan wote wa west Ni watu wasiofaa, madikteta na wauaj.
Hivi unajua kagame Ni dikteta mkubwa asiyefaa kabisa Pengine hata zaidi ya Bashir na gadafi?
Huyu huwaua wapinzan wake kila siku. Lakini Ni Western puppet.
Nani aso ujua ukatili wa huyu mwamba toka 94 Hadi leo.lakini juzi BBC wanasema KG Ni raisi wa mfano Africa.kisa ameendesha baskeli mtaani..
 
Hilo nalielewa. Wazungu wanafanya kila kitu kionekane namna watakavyo na bila kujua tumefata hivyo hivyo.. eg kufikiri, kuelewa, na kuchambua mambo.
Wapinzan wote wa west Ni watu wasiofaa, madikteta na wauaj.
Hivi unajua kagame Ni dikteta mkubwa asiyefaa kabisa Pengine hata zaidi ya Bashir na gadafi?
Huyu huwaua wapinzan wake kila siku. Lakini Ni Western puppet.
Nani aso ujua ukatili wa huyu mwamba toka 94 Hadi leo.lakini juzi BBC wanasema KG Ni raisi wa mfano Africa.kisa ameendesha baskeli mtaani..
Siwezi comment kwa hilo sababu na mimi ni puppet. Nimesoma elimu ya kizungu, nimeishi ulaya na marekani, mpaka sasa nalipwa mshara na hao unaowaita wazungu. Swali na wachina tuwaiteje?
 
Siwezi comment kwa hilo sababu na mimi ni puppet. Nimesoma elimu ya kizungu, nimeishi ulaya na marekani, mpaka sasa nalipwa mshara na hao unaowaita wazungu. Swali na wachina tuwaiteje?
Ni kweli huwezi mpinga baba aliye hakikisha unasoma na Leo una kazi safi.
Mchina Hana tofauti na mzungu kwani kwa pa1 lngo la 1 unyonyaji..
Wao wananyonya bila jina la demokrasia.
Lakn mzungu ananyonya kwa jina la demokrasia hata pale asipoweza kuingia kirahisi.
NAdhani kwa Sasa walibya wanainjoi mno demokrasia bila gadafi
 
Ni kweli huwezi mpinga baba aliye hakikisha unasoma na Leo una kazi safi.
Mchina Hana tofauti na mzungu kwani kwa pa1 lngo la 1 unyonyaji..
Wao wananyonya bila jina la demokrasia.
Lakn mzungu ananyonya kwa jina la demokrasia hata pale asipoweza kuingia kirahisi.
NAdhani kwa Sasa walibya wanainjoi mno demokrasia bila gadafi
Walioiona demokrasia ni wali waliomuunga mkono. Aliua, aliweka vizuizini watu na kufanya watu waishi uhamishoni kwa miongo mingi. Kama uliishi wa kati wa Idd Amin kama mimi utajua Ghadaffi alikuwa mtu wa aina gani.
 
Walioiona demokrasia ni wali waliomuunga mkono. Aliua, aliweka vizuizini watu na kufanya watu waishi uhamishoni kwa miongo mingi. Kama uliishi wa kati wa Idd Amin kama mimi utajua Ghadaffi alikuwa mtu wa aina gani.
Kwaiyo ulitaka Idd Amin kwenye vita asiwe na mshirika? Vipi na Waganda wawachukulie vipi wachina na wazungu walio tusaidia zana na vifaa katika vita ya Kagera?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom