Prove it beyond a reasonable doubt.
lol ni kifupi cha lots of love,kwenye english grammar ile ya zamani tulitumia la saba hadi form 2,ina vyote ikiwemo hii lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prove it beyond a reasonable doubt.
naongeza cku za kuishi mwenzio lol!!naona umefurahi lol
naongeza cku za kuishi mwenzio lol!!
Kuna whatsapp group nipo, kuna dada alipost kuhusu msiba wa mwana group mwenzetu mwishoni akamalizia na lol! Hio lol ikawa ndo topic badala ya msiba.Kumbe ndo hivo nilikua sijui aseee
Kuna whatsapp group nipo, kuna dada alipost kuhusu msiba wa mwana group mwenzetu mwishoni akamalizia na lol! Hio lol ikawa ndo topic badala ya msiba.
Maana yake ni nn??naomba unielimishe mkuuLaughing My Ass Off!!
Wengine husema linamaanisha "Licifer our Lord"
Just curious who is right.??????!!!!
1. KWA KIREFU NI "LAUGH OUT LOUD" NA "LOTS OF LOVE". KWA MAANA NI KUWA KUNICHEKA KWA NGUVU SANA NA PILI NI UPENDO MWINGI KUTOKA KWAKO BINAFSI.Wadau ... Tusaidiane hapa .. Neno "lol"
1. Lina maaana gani ?
2. Hutumika mazingira gani ?
3. Jinsia ipi hupaswa kutumia neno hilo.? Na akilitamka kwa jinsia ipi ?
Asanteni .
IT'S NOT APPROPRIATE OF IT, ILA WAMEJARIBU KULITAFUTIA CONNECTION TU.Wengine husema linamaanisha "Licifer our Lord"
Just curious who is right.??????!!!!
Bt mda mwngine lol ni kama mshangao yaan kihisishi(navojua mim)1. KWA KIREFU NI "LAUGH OUT LOUD" NA "LOTS OF LOVE". KWA MAANA NI KUWA KUNICHEKA KWA NGUVU SANA NA PILI NI UPENDO MWINGI KUTOKA KWAKO BINAFSI.
2. UNATUMIA ABBREVIATIONS HIZI PALE UNAPOFURAHIA/KUFURAHISHWA NA JAMBO FULANI NA PILI UNATUMIA "LOTS OF LOVE" PALE UNAPOTUMA UJUMBE WA KUMAANISHA KUWA UNAJALI NA KUMPENDA MLENGWA HUSIKA.
3. JINSIA ZOTE ZINATUMIA HERUFI NA MANENO HAYA BILA UBAGUZI KWANI YANI HISIA NZURI KUELEKEZA KWA BINADAMU MWINGINE. KWA NYAKATI NI WATU HUJISHTUKIA HASA WANAUME KUTUMIA HAYA MANENO/HERUFI.
NB: KUMUMBUKA KUWA "LOL" HUTUMIKA KATIKA UTUMAJI JUMBE MBALIMBALI BAINA YA WATU JAPO BAADHI HUTUMIA KIMATAMSHI PIA.