Kwa ninavyofahamu
Lol ni kifupi cha
L; Laugh
O: Out
L: Loud
Linamaanishaa kucheka kicheko cha wazi... Kwa mfano mtu amekutumia msg yenye vichekesho na ukacheka mpaka sauti ikatoka kwa kicheko una weza kumjibu Lol kumjulisha kuwa umecheka mpaka jino la mwisho.
Lol inatumiwa na jinsia zote...
Kwa ninavyofahamu
Lol ni kifupi cha
L; Laugh
O: Out
L: Loud
Linamaanishaa kucheka kicheko cha wazi... Kwa mfano mtu amekutumia msg yenye vichekesho na ukacheka mpaka sauti ikatoka kwa kicheko una weza kumjibu Lol kumjulisha kuwa umecheka mpaka jino la mwisho.
Lol inatumiwa na jinsia zote...
Hili neno watu wameliokota mitandaoni tu. í-¼í½Ÿ
lol Laughing Out Loud
sidhani kama linastahil au lianavutia kutumika na mwananume .
Prove it beyond a reasonable doubt.
sidhani kama linastahil au lianavutia kutumika na mwananume .
Mie nisaidieni LMAO
kwanini..???lakini sikatai kwa mawazo yako inaweza kuwa sahihi,nisawa navyoona mimi maneno ya kiswahili kama "majanga","utajiju","sielewi","aje aje"...nikati ya vimisemo ambavyo naona havifaikusemwa na mwanaumesidhani kama linastahil au lianavutia kutumika na mwananume .