MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,851
- 6,201
Washkaji niaje? Hopin wekend inakwenda poa
Washkaji, brothers, gentleman, hustlers and all boys around there let's love our ladies at our best,, hata kama life haiend tunavyotaka tusihamishie hasira na stress kwao kwa kuwaletea ujinga,
Yap cheating sometimes haiepukiki as kuna mitego kuchomoka ngumu, tuhakikishe our loved ones wasijue hata iweje hata kwa kuhisi so that they can smiles and being happy all the time, hawa wenzetu wapo too emotional as wanakuwa hurted sana tunapozingua..
let's treat them the same way we wish our mothers to be treated with our fathers, the same way we wish sisters wawe treated na shemeji zetu etc,,
As nimefurah sana nilikuw kwa sister wangu mkubwa, I see her like crazy, she is more than happy nikakumbuka somedays back alikuwa kama chizi as mahusiano yalimchanganya sana,,
Ukweli sio ngumu kum tune a lady awe unavyotaka if we play our parts inavyotakiwa,, as wanazingua sana wanapoona hatueleweki as wanatafuta kwenye afadhali huku na huku bila kutulia, but tukiwa tunasomeka wao sio wagumu kabisa kutulia nasi na kutupa amani na furaha,,
Also tuwe makini kutongoza ovyo ovyo,, ukiona kabisa hatupo serious bora hata mtongozo tusiufanye serious sana mdada wa watu akafika kwenye love peak kumbe ulikuwa unamega tu na kusepa, sometimes hizi hurted souls zinarudi na kukutafuna maisha yako yote unakuta ukikumbuka vitu flani unakosa raha.. ( Even myself kuna hurted souls zinanitafuna sana) let's try to avoid them so that we can keep our life days happily,,
Nice wekend wakuu aliopo mbalamwezi tuchekiane hapa as Mkata Kiu nipo hapa nakata kiu yangu ya maji ya mende kuimalizia wekend
Washkaji, brothers, gentleman, hustlers and all boys around there let's love our ladies at our best,, hata kama life haiend tunavyotaka tusihamishie hasira na stress kwao kwa kuwaletea ujinga,
Yap cheating sometimes haiepukiki as kuna mitego kuchomoka ngumu, tuhakikishe our loved ones wasijue hata iweje hata kwa kuhisi so that they can smiles and being happy all the time, hawa wenzetu wapo too emotional as wanakuwa hurted sana tunapozingua..
let's treat them the same way we wish our mothers to be treated with our fathers, the same way we wish sisters wawe treated na shemeji zetu etc,,
As nimefurah sana nilikuw kwa sister wangu mkubwa, I see her like crazy, she is more than happy nikakumbuka somedays back alikuwa kama chizi as mahusiano yalimchanganya sana,,
Ukweli sio ngumu kum tune a lady awe unavyotaka if we play our parts inavyotakiwa,, as wanazingua sana wanapoona hatueleweki as wanatafuta kwenye afadhali huku na huku bila kutulia, but tukiwa tunasomeka wao sio wagumu kabisa kutulia nasi na kutupa amani na furaha,,
Also tuwe makini kutongoza ovyo ovyo,, ukiona kabisa hatupo serious bora hata mtongozo tusiufanye serious sana mdada wa watu akafika kwenye love peak kumbe ulikuwa unamega tu na kusepa, sometimes hizi hurted souls zinarudi na kukutafuna maisha yako yote unakuta ukikumbuka vitu flani unakosa raha.. ( Even myself kuna hurted souls zinanitafuna sana) let's try to avoid them so that we can keep our life days happily,,
Nice wekend wakuu aliopo mbalamwezi tuchekiane hapa as Mkata Kiu nipo hapa nakata kiu yangu ya maji ya mende kuimalizia wekend