Neno la Shukrani baada ya kunusurika kwenda Segerea

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,985
20,263
SHUKRANI

Jana ilikuwa siku ngumu sana kwangu baada ya kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu Kasian Matembele kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya pesa taslimu shilingi milioni tano katika kesi No 188/2017 kosa la kuchapisha maneno ya uchochezi mitandaoni, Lakini Watanzania mligeuza ndani ya dakika 60 tu ikawa furaha na nderemo baada ya kuchangia pesa na kulipa faini hiyo.

Nawashukuru sana Watanzania kwa Ujumla wenu kwa mwitikio mkubwa mliouonyesha, Nakishukuru Chama changu Chadema Tanzania kwakusimama nami kwa miaka sita yote niliyokuwa na kesi hii na kwa uzito mkubwa nitoe shukrani za kipekee kwa Mwenyekiti wa Chama Mh Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa Chama Mh John Mnyika hawa wamekuwa zaidi ya viongozi/walezi/wazazi kwangu.

Nalishukuru jopo la Mawakili lililoonhozwa na Wakili msomi Peter Kibatala na Hekima Mwasipu kwa mahiri mkubwa na kwa uvumilivu mkubwa sana kwa miaka yote sita waliyonisimamia tangu niliposoma fikishwa mahakamani November 2015.

Kipekee niwashukuru Makamanda John Pambalu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa Bavicha Taifa Tanzania na Kamanda Malisa GJ kwa namna ya miujiza waliyoifanya jana ndani ya dakika sisizopungua 60 pesa ya kulipia fani 5M ikapatikana na zaidi.

Binafsi nimebaki nimeduwaa tu hadi leo, maana awali nilikuwa na maumivu ya hukumu japo nilishajiandaa kisaikolojia kwenda Segerea, lakini ndani ya saa moja nikaelemewa na furaha isiyokifani. Watanzania mmeniheshimisha sana, Nina deni kubwa sana juu ya imani mliyonikopesha. Imani hii nitailinda daima.

Pia soma: Kisutu: Yericko Nyerere ahukumiwa jela miaka mitatu au faini ya Mil 5 kwa uchochezi, alipa faini na kuachiwa huru
 
Pole, ni wakati sasa wa kujiepusha na mambo ambayo yatakupelekea matatani, siyo Mbowe wala Mnyika watakaokusaidia.
 
Nitakuja Kigamboni kusoma ujasusi wa kidola na kiuchumi, nitasoma na kuacha kitabu chako hapo hapo, siondoki nacho hivyo sitakilipia, nilikuchangia 35,000, na nyani mwenzetu nilokuwa nae akachangia 15,000.

Karibu tuendelee kunywa bia.
 
Hongera watanzania pia hongera kwako mwanaharakati ndugu yetu Yericko Nyerere.

Uhuru una gharama sana, Ahsante kwa kutupigania
 
Mara baada ya waziri mkuu msitaafu Edward Lowasa kujiunga na kuinunua Chadema ili awe mgombea urais mwaka 2015 , kitu cha kwanza kabisa alipokabidhiwa tu chama alipiga marufuku siasa za kiharakati na kushauri siasa hizo hazina tija kwa sasa. Edward Lowasa alionya kuwa Chadema lazima igraduate kutoka chama cha kiharakati hadi kuwa chama cha siasa sasa.

Edward Lowasa alifafanua madhara ya chama kubaki cha kiharakati muda wote kuwa ni pamoja na kupinga maendeleo yote ya nchi ,kuombea mabaya nchi ,kushirikiana na mabeberu ili kuiibia nchi ,pamoja na kushangilia kila lililobaya kwa taifa ili kumfurahisha tu anayefadhili hizo harakati zako. Matokeo ya harakati hizi ni chama kuchukiwa na wazalendo na kupoteza ushawishi kwa wananchi.
Hakika Lowasa aliona mbali. Leo brand ya chadema imeharibiwa vibaya, chama kilichojizolea umarufu kwa kutetea wanyonge leo kinataka machinga na mama ntilie wafukuzwe mitaani!!! Leo ni furaha kubwa kwa Chadema ndege kukamatwa na wazungu!!!

Pia tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.

Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!

Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.

Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.

Watanzania siyo vilaza, wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.

Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu.

Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
 
Criticism of Government Does Not Constitute Sedition, Says Supreme Court

The apex court on Monday cautioned the police against misuse of the sedition law and directed them to follow its earlier Kedar Nath judgment.


ABVP activists protest against Amnesty International India which was recently charged with sedition for organising a debate on Kashmir. Credit: PTI

New Delhi: The Supreme Court on Monday said that all authorities across the country would be bound by the Kedar Nath judgment of the apex court, which limits the scope of filing sedition cases under the provisions of Indian Penal Code.

A bench of Justices Dipak Misra and Uday Lalit gave the direction after Prashant Bhushan appeared on the behalf of the petitioners –NGO Common Cause and S. P. Udayakumar (an anti-nuclear activist against whom sedition charges have been made) – and said that there has been an increase in the number of sedition cases being filed.

Bhushan argued before the bench that the law of sedition is being grossly misused, misapplied and abused by the authorities and that the authorities are not following the judgment in Kedar Nath which states that Section 124A (sedition) is only applicable where there is violence or incitement to violence in the alleged act of sedition.

Taking note of this submission, the bench in a brief order, said “we are of the considered opinion that the authorities while dealing with the offences under Section 124A of the Indian Penal Code shall be guided by the principles laid down by the Constitution Bench in Kedar Nath Singh vs. State of Bihar case. Except saying so, we do not intend to deal with any other issue as we are of the considered opinion that it is not necessary to do so. The writ petition is accordingly disposed off.”

The petitioners were concerned at the increasing number of ‘sedition’ cases being filed across the country, the latest being the slapping of a charge against Amnesty International India for organising a debate on Kashmir and against Kannada actor-turned-politician, Ramya for her ‘Pakistan is not hell remark,’ and challenged this provision in the Indian Penal Code. They said there has been an increase in the number of cases of sedition against intellectuals, activists and students.

The petition was for the Supreme Court to address the misuse and misapplication of IPC Section 124A (sedition law) by the Centre and various state governments, which has led to routine persecution of students, journalists and intellectuals engaged in social activism. It submitted that these charges are framed with a view to instil a fear and to scuttle dissent and are in complete violation of the scope of sedition law as laid down by constitution bench judgment of Supreme Court in Kedar Nath.

In the petition, a prayer was made for the issuance of an appropriate writ, order or direction making it compulsory for the concerned authority to produce a reasoned order from the director general of police or the commissioner of police, as the case maybe, certifying that the “seditious act” would either lead to the incitement of violence or had the tendency or the intention to create public disorder – before an FIR is filed or an arrest is made on the charges of sedition against any individual.

In the various cases that have been filed in recent years, the charges of sedition against the accused have failed to stand up to judicial scrutiny. The petitioner therefore sought strict compliance with the constitution bench judgment of the Supreme Court in Kedar Nath in which the scope of sedition as a penal offence was laid down and it was held that the gist of the offence of sedition is “incitement to violence” or the “tendency or the intention to create public disorder”.

It was submitted that those actions, which do not involve violence or the tendency to create public disorder – such as the organisation of debates/discussions, drawing of cartoons and criticism of the government – do not constitute sedition.

Section 124A of the IPC states “whoever by words, either spoken or written, or by signs, or by visible representation, or otherwise, brings or attempts to bring into hatred or contempt, or excites or attempts to excite disaffection towards the government established by law in India shall be punished with imprisonment for life to which fine may be added or with imprisonment which may extend to three years.”

The petitioners regretted that more than 50 years since the Kedar Nath judgment, Section 124A of the IPC was being allowed to be used irrespective of whether the alleged act or words are, in fact, seditious acts, or constituting a “tendency to cause public disorder or incitement to violence”.

In carrying out arrests and slapping charges, the police and the governments have rarely, if ever, respected this restriction. Successive governments have blatantly used Section 124A to stifle the voice of dissent and to further their political goals.

Quoting statistics, they said, according to the National Crime Records Bureau (NCRB) report of 2014, as many as 47 sedition cases were reported across nine Indian states in 2014 alone. Many of these cases did not involve violence or incitement to violence, which is a pre-requisite for a sedition charge. It was submitted that as per NCRB figures, a total of 58 people were arrested in connection with these cases, but the government managed only one conviction.

It said that in 1979, India ratified the International Covenant on Civil and Political Rights (ICCPR), which sets forth internationally recognised standards for the protection of freedom of expression. However, misuse of sedition law under Section 124A and the arbitrary slapping of charges continue to restrict speech in ways that are inconsistent with the ICCPR.

In the Kedar Nath judgment, the apex court unequivocally narrowed the scope of Section 124A, but it continues to be misused, thereby making it imperative for this court to issue necessary directions and guidelines to uphold its decision in Kedar Nath which is also compatible with India’s international obligations.

The petitioner acknowledges that words which directly provoke violence, or which directly threaten the maintenance of public order, may deserve censure. However, that is not what the misapplication of sedition law seeks to achieve. The present practice of misapplication of sedition law violates the Kedar Nath judgment. It further aims to crush all opposition to the ruling political party. The regular use of the law continues to have a chilling effect on the freedom of speech and expression in the country.

It was submitted that though a small number of sedition cases lead to actual conviction, it causes harassment of individuals till the time judgment comes, which in various cases takes several years.

Meanwhile, individuals charged with sedition have to live without their passport, are barred from government jobs and must produce themselves in court at all times as and when required. A person who is charged also has to spend money on legal fees.

The charges have rarely stuck in most of the cases, but the process itself becomes the punishment. The petitioners prayed for a review of all pending sedition cases and for criminal complaints for sedition made before a judicial magistrate with a view to curb the misuse and misapplication of the sedition law.
 
Back
Top Bottom