Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
- Thread starter
- #21
Kwahiyo kwa wakamuliwaji inageuka kero kwa mkamuaji?Mkuu kwani kitambi ni tatizo,mi nafurahi kuwa nacho kwanza kinanisaidia kufuta kioo cha hii smart phone,pili ukivaa tai inaonekana,tatu sisi wakiristu kuwa na kitambi sio shida kwani Siku tukifa hatukamuliwi.
Sijawahi kujuta kuwa na kitambi aka public opinion.