Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
...hivi Askofu Mkuu Kilaini aliongea lini na Mwenyezi Mungu akamwambia JK ni chaguo la Mungu kama siyo utapeli kwa kumdhihaki Mwenyezi Mungu.................
Mkuu sahihisho kidogo la kiitifaki. Kilaini si Askofu Mkuu ni Askofu Msaidizi.