MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,597
- 4,902
Yah kiukweli hujabakiza kitu japo sisi Kama binadam Hatuwezi kukubali KAMANDA tunamapungufu au tumekua Bendera fuata upepo Kuna uasilika mbaya uliokuja sasahivi kwamba hata nikipingwa Risasi mchana kweupe waasilika wataona nilisitahili eti tu kwasababu mitizamo yangu na yao ni tofauti hakika sisi Kwasasa ni zaidi ya mazuzu Ngoja niishie Hapa japo Moyo waniuma Sana Maana Kuna damu Zipo tohalani zimepelekwa huko kwasababu ya mitazo Chanya.