Neno la Katibu Mkuu CHADEMA: Sisi Tuendelee na Utawala wa Sheria

Kitu Kizito

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
245
223
Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh Vincent Mashinji amewapa angalizo hili kwa Mameya wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla. Nanukuu..

"Naomba niwapongeze kwa kazi kubwa mliyo ifanya tokea kuchaguzi wa Udiwani hadi ngazi ya Umeya na Wenyeviti wa halmashauri.

Tnataka Mkitoka hapa (kwenye kikao Arusha) tuone utofauti wenu na viongozi wengine.

Nchi yetu kwa Sasa haifuati Utawala wa Sheria bali inaongozwa na kwa matamko, hivyo inatupasa kuwa waangalifu sana na Matamko haya. Sisi tuendelee na Utawala wa Sheria.."
 
NDIYO MAANA BAVICHA TUNAKWENDA DODOMA KUWASAIDIA POLICE KWA CCM KUTOFUATA SHERIA NA MATAMKO YA RAISI.

SWISSME
 
1468068278456.jpg
 
Ndiyo raha ya kusoma na kuelimika, maana kasisitiza katiba ifuatwe, na matamko yaheshimiwe, tunatii tamko la mkuu wa kitengo cha operation cha jeshi la polisi, na pia kutii agizo la rais kwamba asikwamishwe siasa hadi 2020.
Ndio maana BAVICHA wanakwenda Dodoma kusimamia hilo.
Tumekuelewa Katibu mkuu
 
Back
Top Bottom