wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,685
- 26,779
Ni j.pili njema wakuu,
Poleni na majukumu ya and natumaini mambo yanenda kama alivyoyapangilia huyu alieshikilia mbingu huko juu bila kuweka nguzo.
Dhumuni la uzi huu ni kuhusu holi neno (kamoon) kwa kawaida huwa silielewi linamaana gani kwani hata leo wakati niko church katika mahubiri yule kiongozi wa ibada kapiga mahubiriii tulipokuwa tunashangulia ule upako yule kiongozi ndo akasema kamooooonnn!
Sasa hapo nikajiuliza hiv iametukana au hua ni kiwakilishi tuu au ni mizuka yake au no neno hia linajitokea kwenye mahubiri! Na hili neno sio hapo tu hataashuleni au huku mitaani au mastendini hua nalisikiaga hivi hua lina maana gani naombeni mnifafanulie wajuzi.
Poleni na majukumu ya and natumaini mambo yanenda kama alivyoyapangilia huyu alieshikilia mbingu huko juu bila kuweka nguzo.
Dhumuni la uzi huu ni kuhusu holi neno (kamoon) kwa kawaida huwa silielewi linamaana gani kwani hata leo wakati niko church katika mahubiri yule kiongozi wa ibada kapiga mahubiriii tulipokuwa tunashangulia ule upako yule kiongozi ndo akasema kamooooonnn!
Sasa hapo nikajiuliza hiv iametukana au hua ni kiwakilishi tuu au ni mizuka yake au no neno hia linajitokea kwenye mahubiri! Na hili neno sio hapo tu hataashuleni au huku mitaani au mastendini hua nalisikiaga hivi hua lina maana gani naombeni mnifafanulie wajuzi.