Neno kambi rasmi liliwekwa ndani ya kanuni za sasa kwa shinikizo la Hamad rashid wakati wa kuunda kanuni hizi mpya za bunge.Alifanya hivyo ili kuzuia wenzake kutoka nje ya kambi rasmi kuongoza kamati hizi.
Taarifa zinasema Hamad litaka kuwekwa kwa kifungu hicho kwa kuwa aliamini kuwa chama chake ndicho kitaongoza upinzani bungeni kwa kuwa kina mtaji wa kutosha visiwani Pemba.
Kilichosababisha Hamad kushinikiza kuandikwa neno rasmi kulikuja kufuatia hatua ya mbunge wa Bariadi Mashariki,John Cheyo kumshinda Hamad mwaka 2005.Wakati CUF ilikuwa inaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni peke yake.Cheyo akaenda kugombea nafasi ya mwenyekiti PAC.Akamshinda Hamad ndani ya kamati.Sasa ilipoundwa kamati ya kanuni kuangalia kanuni mpya Hamad akasisitiza kuwekwa kwa neno rasmi.
Taarifa zinasema Hamad litaka kuwekwa kwa kifungu hicho kwa kuwa aliamini kuwa chama chake ndicho kitaongoza upinzani bungeni kwa kuwa kina mtaji wa kutosha visiwani Pemba.
Kilichosababisha Hamad kushinikiza kuandikwa neno rasmi kulikuja kufuatia hatua ya mbunge wa Bariadi Mashariki,John Cheyo kumshinda Hamad mwaka 2005.Wakati CUF ilikuwa inaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni peke yake.Cheyo akaenda kugombea nafasi ya mwenyekiti PAC.Akamshinda Hamad ndani ya kamati.Sasa ilipoundwa kamati ya kanuni kuangalia kanuni mpya Hamad akasisitiza kuwekwa kwa neno rasmi.