Nasubiri waje (sijui akina nani)Neno Stationery huwa mara nyingi huandikwa Stationary. Sehemu nyingi ilipo Stationery inaandikwa stationary.
Maana;
Stationery-duka la vifaa vya shule na elimu.
Stationary-kusimama au kubaki pale pale.
Neno Stationery huwa mara nyingi huandikwa Stationary. Sehemu nyingi ilipo Stationery inaandikwa stationary.
Maana;
Stationery-duka la vifaa vya shule na elimu.
Stationary-kusimama au kubaki pale pale.
Sawa kabisa, umepatia!Neno Stationery huwa mara nyingi huandikwa Stationary. Sehemu nyingi ilipo Stationery inaandikwa stationary.
Maana;
Stationery-duka la vifaa vya shule na elimu.
Stationary-kusimama au kubaki pale pale.
...dhibiti hutamkwa na kuandikwa thibiti kimakosa.Maneno mengine ya kiswahili ambayo hukosewa na watu wengi sana
Mpaka watu huandika Mbaka
Thamini watu huandika Dhamini
Wengine dalili huandka dhalili(kuna mchaga mmoja hapa home kashazoea kuandka hvyo yani)Maneno mengine ya kiswahili ambayo hukosewa na watu wengi sana
Mpaka watu huandika Mbaka
Thamini watu huandika Dhamini
Salon Vs Saloon
Salon - ofisi ya kinyozi
Saloon - aina ya gari muundo wa chini kama carina, premio etc
Butcher ni yule muuza Nyama, kwa Kiingereza pia humaanisha mchinjaji, au muuaji, Butchery ni lile duka la kuuzia nyamaWhat about Butcher and Butchery??
Dhibiti na thibiti ni maneno tofauti yenye maana tofauti,..dhibiti hutamkwa na kuandikwa thibiti kimakosa.
Butcher ni yule muuza Nyama, kwa Kiingereza pia humaanisha mchinjaji, au muuaji, Butchery ni lile duka la kuuzia nyama
Nasemea pale ambapo mtu anaandika thibiti mahali pa kuandika dhibiti. Ukisema tunathibiti ugonjwa usiendelee utakuwa unakosea. Inapaswa kuwa tunadhibiti, na si tunathibiti. Dhibiti is to control, prevent or regulate. Thibiti is to certify or confirm.Dhibiti na thibiti ni maneno tofauti yenye maana tofauti,
Dhibiti inaweza kumaanisha kuzuia kwa uhakika, na
Thibiti inaweza kumaanisha kutambulika kwa hakika
Dhibiti na thibiti ni maneno tofauti yenye maana tofauti,
Dhibiti inaweza kumaanisha kuzuia kwa uhakika, na
Thibiti inaweza kumaanisha kutambulika kwa hakika