Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 2,667
- 5,243
Kutokana na lugha kuzidi kukua na ndivyo misamiati inavyozidi kuongezeka, hivyo utajikuta kuna baadhi ya maneno huelewi kabisa japo yanatamkwa na wazungumzaji wa kiswahili, hii ni kwa wakenya je ni neno gani la "kibongo" unalisikia tu ama kwenye nyimbo au kuliona kwenye mitandao ila hulielewi? Post hapa wabongo wakufafanulie
Mimi kwa upande wa kenya, kuna baadhi ya maneno siyaelewi mf. Ngori, nduthi...yafafanueni tafadhali....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwa upande wa kenya, kuna baadhi ya maneno siyaelewi mf. Ngori, nduthi...yafafanueni tafadhali....
Sent using Jamii Forums mobile app