Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 446
Kama kweli wampenda, enenda basi ukampige 'tough' huko aliko huyo zimwi.Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.