Lakini hao uliowataja wana nguvu ya maamuzi kwenye chama kweli? Mbona mwenye maamuzi anaonekana Mhe. Mbowe tu, tofauti na wenzenu wa CCM ambao wanaonekana wanatoa uhuru mkubwa sana kwa wanachama wao.
Kwa wakazi wa Moshi tunapata wapi kadi?
Kadi za chama chooni tena? Au unamaanisha chuoZinapatikana pale choo cha stendi mjini
Ritz nadhani umeuliza kwa nia njema ya kutaka kujiunga na Chadema-chama makini Tanzania bara na visiwani. Basi ngoja tusubiri mwenye kufahamu zilipo ofc za chadema kwA Moshi atuelekeze. Hii ni kwa faida ya wote, na si kwa Ritz pekee.Kwa wakazi wa Moshi tunapata wapi kadi?
Asante mdau!!KWA KIGAMBONI ofc zinapatikana maeneo ya MAWENI kabla ya kufika mji mwema.
Basi nenda kajiunge na CCM. Unao uhuru huo.Lakini hao uliowataja wana nguvu ya maamuzi kwenye chama kweli? Mbona mwenye maamuzi anaonekana Mhe. Mbowe tu, tofauti na wenzenu wa CCM ambao wanaonekana wanatoa uhuru mkubwa sana kwa wanachama wao.
mikocheni kwa nyerere? Ofisi ya karibu ni wapi?Nimeianzisha thread hii makusudi ili tuweze kufahamishana zilipo ofc za chadema. Asanteni kwa muitikio wenu, mwenye kujua zilipo ofc za CHADEMA Kigoma, bagamoyo na Njombe kusini tafadhali aziweke hadharani ili members waende wakachukue kadi.Asanteni
fika nianjema high school uliza mr Ruge ni mwenyekiti cdm bagamoyo utapataVipi Bagamoyo?
Ok,kwakuanzia na ofice kuu za chama,fika stand ya kuu ya ma basi,makubwa,jengo la NAMVUA PLAZA FLOOR No4,pia Kijenge opposite na kituo cha mafuta cha GAPCO,barabarani tu ipo,Maji ya Chai pia ipo-barabara kuu ya moshi/Arusha,utaiyona...nyinginezo ntazicheki kwenye list wadau!!Mkuu kama unafahamu ingependeza sana kama ukiweka hadharani.
Lipo mchamba wima karibia na bwimbini muulizie jamaa moja anaitwa KataviHapa pemba tawi lipo wapi?anaejua anijuze.