Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Inawezakana unatamani kuwa mwanachama wa CHADEMA lakini hujui mahala zilipo ofc. Kuna wana-JF wengi ambao wanatoka sehemu mbalimbali Tanzania bara na visiwani zilipo ofc za Chadema.Tafadhali toa taarifa muhimu zitakazomuwezesha mtu kufika eneo husika na akajichukulie kadi yake.Kwa mfano; Taja Jina la MKOA, WILAYA,MTAA and the nearest landmark.Asanteni.