Tanzania nchi ya ajabu sana yaani vituo vyote hivyo vinajengwa maana sio kituo ni vituo vinapata lincence ya biashara watu wa jiji au halmashauri wakagua vibali wanapita tu kimyaa leo wanaamka usingizini nani kajenga hivi bila vibali maana kama lingekuwa kuna kosa kubwa vingebomolewa lakini kupiga fine biashara iendelee ni kama kusema vibali vile sio muhimu ila ni vizuri kuwa navyo tu kuongeza ukiritimba. Hapa siwatetei Lake Oil lakini kuna watu walijenga sehemu sio wanawekewa red bomoa sasa na hawa wangewekewa bomoa maana sheria zimekiukwa au vibali hivi havina umuhimu wowote.