Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,644
Ok ..wale jamaa hawana haraka . wakijenga wanajenga kweli Pia huduma zao ziko high quality
Sijapata wasaa nao ila all i need is wese lisiloungua haraka kama ilivyo lake oil! Madala dala na boda boda wote wanakimbilia kule sababu inawalipa 😅😅😅😅😅 huwezi kuta dala dala anajaza wese TotalOk ..wale jamaa hawana haraka . wakijenga wanajenga kweli Pia huduma zao ziko high quality