Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,793
- Thread starter
- #21
Kuna siku nilienda kupata supu pale asubuhi kama saa 4 jamaa walifungua mziki kwa sauti ya juu sana. Can you imagine? Saa 4 aisee tulichachamaa mpaka wakazima. Inatakiwa hawa NEMC na ofisi za serikali za Mitaa wawe wakali na huu ujinga wa hawa wenye hizi bar kila sehemu makelele tu. Hakuna hata amani.Mkuu, pia kuna ile bar pale miti mitatu (TTG), aisee huwa najiuliza watoto wanao ishi maeneo yale huwa wanapataje usingizi.
Wale jamaa hawajali Afya ya wakazi wa maeneo yale, kelele usiku kucha. Hakika Serikali kupitia NEMC, waangalie upya Jambo hili,