GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Haya mambo mkanyago, kuna mambo nyerere aliyachanganya kila cha tanganyika kukifanya cha tanzania, sasa Tanganyika inarudi, itakuwaje mambo haya.
Wimbo wa taifa wa tanzania ndio wimbo wa taifa wa Tanganyika
Bendera ya Tanzania ndio ilikuwa bedera ya Tanganyika.
Nembo ya Tanzania ndio nembo ya tanganyika.
Tuachwe tupumue wazanzibari tumechoka kutawaliwa.
Wimbo wa taifa wa tanzania ndio wimbo wa taifa wa Tanganyika
Bendera ya Tanzania ndio ilikuwa bedera ya Tanganyika.
Nembo ya Tanzania ndio nembo ya tanganyika.
Tuachwe tupumue wazanzibari tumechoka kutawaliwa.