Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,739 155,428 Jun 11, 2013 Thread starter #3 awp said: Chukua chako Mapema Click to expand... Walishachukua wametuachia uozo tu
Fred Katulanda JF-Expert Member Apr 1, 2011 374 509 Jun 11, 2013 #4 Inaweza kuwa hii maana kila mmoja na leke kugawana Rasmali zetu.
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,345 94,508 Jun 11, 2013 #7 Duh kiukweli tuna safari ndefu sana kama hatutabadilika kifikra
Hiram Abiff JF-Expert Member Apr 14, 2013 896 676 Jun 11, 2013 #8 Bujibuji said: Click to expand... hao wanaokimbia na meno ya tembo lazma watakuwa kinana na mkewe
Hiram Abiff JF-Expert Member Apr 14, 2013 896 676 Jun 11, 2013 #9 Bujibuji said: Click to expand... hao wanaokimbia na meno ya tembo lazma watakuwa kina*a na mkewe
Njowepo JF-Expert Member Feb 26, 2008 9,710 2,226 Jun 11, 2013 #10 Watu wanasepa na pembe za ndovu dah
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Jun 11, 2013 #11 Mkuu Bujibuji, wawezajua bei ya jino moja la Tembo?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,739 155,428 Jun 12, 2013 Thread starter #12 Gwangambo said: Mkuu Bujibuji, wawezajua bei ya jino moja la Tembo? Click to expand... ngoja ni gugo
B BabaKasheshe JF-Expert Member Nov 7, 2012 211 45 Jun 12, 2013 #14 this is so creative....................... Bujibuji said: Click to expand...
MD25 JF-Expert Member Jan 28, 2012 3,074 1,018 Jun 12, 2013 #15 Bujibuji said: ngoja ni gugo Click to expand... Kwa nini usimuulize kinana mpaka upoteze muda wako kwa ku-gugo....
Bujibuji said: ngoja ni gugo Click to expand... Kwa nini usimuulize kinana mpaka upoteze muda wako kwa ku-gugo....
ladyfurahia JF-Expert Member May 10, 2011 14,699 9,460 Jun 12, 2013 #16 hiyo ndiyo tunayotaka kwani tumechoka na hizo ambazo hazijasaidia kitu kabisa kwetu Bujibuji said: Click to expand...
hiyo ndiyo tunayotaka kwani tumechoka na hizo ambazo hazijasaidia kitu kabisa kwetu Bujibuji said: Click to expand...
damian marijani JF-Expert Member Jan 31, 2010 695 460 Jun 12, 2013 #17 Hao waliobeba ile bia maarufu ya Kenya wametumwa na Ki****?
Naibili JF-Expert Member Jan 24, 2011 1,730 519 Jun 12, 2013 #19 Pembe zote wamechukua, nchi haina Rasilimali tena
Elia JF-Expert Member Dec 30, 2009 3,425 567 Jun 12, 2013 #20 Bujibuji said: Click to expand... Hii inaanzia zanzibar then mtwara then......