johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Nimeyasikia maneno haya ya rip Mandela leo asubuhi kupitia clip iliyowekwa pale TBC luninga. Mzee Mandela aliyasema maneno katika kipindi cha mahojiano alichofanyiwa na mtangazaji kutoka Marekani wakati huo Madiba akiwa ameshastaafu siasa.
" Wanasiasa wanajidanganya sana kwa kufikiri maadui zao ndio maadui zetu pia "......ni ujumbe unaofikirisha sana.
Source TBC
My take;
Watanzania ujumbe huu unawahusu sana wanasiasa wetu!
" Wanasiasa wanajidanganya sana kwa kufikiri maadui zao ndio maadui zetu pia "......ni ujumbe unaofikirisha sana.
Source TBC
My take;
Watanzania ujumbe huu unawahusu sana wanasiasa wetu!