MBIIRWA
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 2,585
- 5,245
Kiongozi huyu hata baada ya kufungwa gerezani kwa kipindi cha miaka 27 hakulipiza kisasi baada ya kuwa Rais. Viongozi wa Africa na dunia nzima lipi wajifunze kutoka kwa shujaa wa Afrika.
Je ingekuwa wewe usingeng'oa meno na kucha wabaya wako. Embu funguka
Je ingekuwa wewe usingeng'oa meno na kucha wabaya wako. Embu funguka