Nelson Mandela foundation vacancies

Barca

JF-Expert Member
May 3, 2013
1,404
1,548
Habari ya asubuhi wanajamvi
Nelson Mandela foundation walitangaza kazi kupitia mitandaoni wanasema wanataka vijana kwaajili ya kufanya kazi kwenye maswala ya utapiamlo, na umasikini yaani kutoa misaada katika maeneo hayo wakasema tutume cv.

Mimi nilituma cv, baada ya cv wakasema nitume vyeti vya taaluma na kuna form wakasema nijaze nikajaza.

Baadaye wakanitumia barua kuwa nimekuwa appointed kufanya kazi na kazi hiyo nitaifanyia Hapa Hapa ninapoishi ila itabiidi nitafute au ni analyse eneo la tatizo. Nikaona haina shida wakaniambia niandae mazingira ya ofisi na nifungue account ya online offshore account kupitia chase bank Kenya.

Nikafanya hivyo sasa kilichonipa wasiwasi na ndo chazo cha uzi huu ni kwamba Hawa chase bank wanataka ni deposit $100 ambayo sawa na 220000 za bongo dah napata wasiwasi wasije Kuwa matapeli.

Je? kuna mtu humu ameapply hii kazi na amefanikiwa au yeyote mwenye uzoefu na hizi issues atupe uzoefu nitashukuru kwa msaada.
 
Habari ya asubuhi wanajamvi
Nelson Mandela foundation walitangaza kazi kupitia mitandaoni wanasema wanataka vijana kwaajili ya kufanya kazi kwenye maswala ya utapiamlo, na umasikini yaani kutoa misaada katika maeneo hayo wakasema tutume cv.

Mimi nilituma cv, baada ya cv wakasema nitume vyeti vya taaluma na kuna form wakasema nijaze nikajaza.

Baadaye wakanitumia barua kuwa nimekuwa appointed kufanya kazi na kazi hiyo nitaifanyia Hapa Hapa ninapoishi ila itabiidi nitafute au ni analyse eneo la tatizo. Nikaona haina shida wakaniambia niandae mazingira ya ofisi na nifungue account ya online offshore account kupitia chase bank Kenya.

Nikafanya hivyo sasa kilichonipa wasiwasi na ndo chazo cha uzi huu ni kwamba Hawa chase bank wanataka ni deposit $100 ambayo sawa na 220000 za bongo dah napata wasiwasi wasije Kuwa matapeli.

Je? kuna mtu humu ameapply hii kazi na amefanikiwa au yeyote mwenye uzoefu na hizi issues atupe uzoefu nitashukuru kwa msaada.
Mbona kila kitu kipo wazi hapo............katafute kazi achana na wasanii hao.
 
Habari ya asubuhi wanajamvi
Nelson Mandela foundation walitangaza kazi kupitia mitandaoni wanasema wanataka vijana kwaajili ya kufanya kazi kwenye maswala ya utapiamlo, na umasikini yaani kutoa misaada katika maeneo hayo wakasema tutume cv.

Mimi nilituma cv, baada ya cv wakasema nitume vyeti vya taaluma na kuna form wakasema nijaze nikajaza.

Baadaye wakanitumia barua kuwa nimekuwa appointed kufanya kazi na kazi hiyo nitaifanyia Hapa Hapa ninapoishi ila itabiidi nitafute au ni analyse eneo la tatizo. Nikaona haina shida wakaniambia niandae mazingira ya ofisi na nifungue account ya online offshore account kupitia chase bank Kenya.

Nikafanya hivyo sasa kilichonipa wasiwasi na ndo chazo cha uzi huu ni kwamba Hawa chase bank wanataka ni deposit $100 ambayo sawa na 220000 za bongo dah napata wasiwasi wasije Kuwa matapeli.

Je? kuna mtu humu ameapply hii kazi na amefanikiwa au yeyote mwenye uzoefu na hizi issues atupe uzoefu nitashukuru kwa msaada.
Hiyo fb page ni scam, si ya kweli, for more info fungua link hii hapa Foundation made aware of new scam

he Nelson Mandela Foundation has been made aware of a new scam doing the rounds, calling for job applications.

The poorly worded advert reads:

"VACANCY ANNOUNCEMENT!! In partnership with Bill Gates Foundation we are seeking to employ over 1000 youths in East Africa to help with the fight against poverty, malnutrition, illiteracy and violence. Applicants must hold a minimum of a College Diploma, exhibit leadership qualities and possess excellent communication skills. Duties will include identifying areas that require immediate funding and coming up with long term sustainable solutions. APPLY NOW by sending your CV to careers@mandelafoundation.org..."

This is a scam and should be ignored.

The Foundation recently received a message via its Facebook page from a hopeful candidate, providing further details of the scam:

"...An appointment letter and job description form were sent to me. I have been told to open an online account with Chase Bank of Kenya, so that $65,000.00 may be sent to me to open an office here in Uganda, and that I will have to go to South Africa for a briefing as soon as I receive the funds. [I was also told] that a monthly salary of $500 will be paid to me and that I will employ three staff to work with me at the office. I am writing to you to inquire whether this is real. I am scared that they might be opportunists who want to cheat me. Looking forward for your reply."

Barca
 
Back
Top Bottom