Nehemia K. Mchechu: My national hero!

Status
Not open for further replies.
Apr 27, 2006
26,588
10,374
- Well, Mkurugenzi wa National Housing Corp. hapa bongo Bwana Nehemia Msechu, for sure he is my National Hero, yaani hili shirika kuna wakati lilikuwa linajifia lenyewe tukaambiwa na World Bank libinafsishwe haraka sana, nimeona Awamu zote kuaniza ya kwanza wakihangaika na hili shirika, until lilipopewa huyu kijana msomi.

- Sasa NHC ni moto wa kuotea mbali, hakuna ubia wala uwekezaji na wageni ni bongo kwa bongo tu, lakini sasa linapasua kwa kushindana na mashirika kama ya Bia na Sigara, ambayo yalitushinda wabongo, huwa ninajiuliza je hakuna kuna Nehemias wengine waliokosa nafasi kwenye Taifa, I mean kama unalisoma vizuri Shirika na Nyumba sasa ni kwamba hata mashirika ya Sigara na Bia hatukuwa na sababu ya kuyauza ila tatizo lilikuwa ni uongozi tu!

- I mean NEHEMIA MSECHU FOR PRESIDENT, Imagine huyu jamaa akipewa nafasi ya kwua Rais wa Jamhuri?

Es
 
Nyumba zao wanauza bei sana kiasi kwamba mvuvi wa Mtera hawezi kununua labda kama awe anauza samaki haramu.
 
Mimi namkubali sana nehemia msechu anafanya kazi nzuri sema serikali ipunguze kodi kwenye vifaa vya ujenzi hakika zitajengwa nyumba hadi za milioni 15 kila mtu ataweza zimudu.

Hivi cement ikuzwa 5000 kama dr slaa alivyosema
Mchanga roli ushuke hadi 20000
Bila kusahahu mafuta bei yashuke maana hivi vitu lazima visafirishwe.
Kokoto roli liuzwe 70000 zile kama za lami
Nondo zishuke hadi 5000

Hakika NHC watashusha bei za nyumba na watajenga nyumba kwa kila raia tatizo la sasa ni vifaa vya ujenzi kuwa juu pia ardhi iko juu.

Serikali izingatie hapo ishushe bei za ujenzi hata bei la bati moja lije hadi 5000

Suala kuwa raisi hapana abaki hapo hapo zamani walikuwa wanaendesha kwa hasara sasa wanipa serikali kwenye bajeti iliyopita bilioni zaidi ya 20 naamini ijayo watapanda zaidi.
 
Hakuna kitu pale, makandarasi wanaanza kutaifisha majengo sasa, mfano kuna lile jengo refu halijaisha pale karibia na TRA HQ linaishia mikononi mwa yule anayelijenga hadi pale lilipo mkandarasi anajenga kwa pesa yake kimyakimya na NHC wameshindwa kulipa hata mia.
 
- Well, Mkurugenzi wa National Housing Corp. hapa bongo Bwana Nehemia Msechu, for sure he is my National Hero, yaani hili shirika kuna wakati lilikuwa linajifia lenyewe tukaambiwa na World Bank libinafsishwe haraka sana, nimeona Awamu zote kuaniza ya kwanza wakihangaika na hili shirika, until lilipopewa huyu kijana msomi.

- Sasa NHC ni moto wa kuotea mbali, hakuna ubia wala uwekezaji na wageni ni bongo kwa bongo tu, lakini sasa linapasua kwa kushindana na mashirika kama ya Bia na Sigara, ambayo yalitushinda wabongo, huwa ninajiuliza je hakuna kuna Nehemias wengine waliokosa nafasi kwenye Taifa, I mean kama unalisoma vizuri Shirika na Nyumba sasa ni kwamba hata mashirika ya Sigara na Bia hatukuwa na sababu ya kuyauza ila tatizo lilikuwa ni uongozi tu!

- I mean NEHEMIA MSECHU FOR PRESIDENT, Imagine huyu jamaa akipewa nafasi ya kwua Rais wa Jamhuri?

Es
Tueleze kwanza kwanini uliituingiza kwenye utapeli wa kazi majuu? Wacha fyongo zako!!!
 
  • Thanks
Reactions: PhD
Tueleze kwanza kwanini uliituingiza kwenye utapeli wa kazi majuu? Wacha fyongo zako!!!

Kwa Nchi yenye utawala wa sheria huu ya jamaa alitakiwa kuwa kule alipo mtoto LULU ambaye hata uhakika wa kosa lake haujathibitishwa
 
Tatizo la watanzania ni wavivu kufikiri na kutafakari mambo.

Kama Mchechu anakuwa ni hero kwako, basi humfahamu. Hakuna project yoyote aliyoanzisha na kuimaliza, yeye yuko buzy kuhonga vyombo vya habari na kulavrushwa. Ameuzia viwanja wahindi na rushwa zake sasa zinaanzia bilioni.

Kwa ujumla hafai, ni mzandiki na mtu wa kujikomba kwa wakubwa. Mshahara wake ni milioni 20 kwa kuzalisha nini? That chap is useless. Anyway wajinga ndio waliwao endelea kumsifia
 
Tueleze kwanza kwanini uliituingiza kwenye utapeli wa kazi majuu? Wacha fyongo zako!!!

Kutapeliwa mlitaka wenyewe hamkutaka kutumia akili na busara zenu kwa tamaa sasa utamlaumu vipi tapeli?

Chama
Gongo la mboto DSM
Mapumzikoni Monga vyeru
 
FMES,

Anastahili pongezi ila bado nashindwa kuelewa wanapojenga nyumba kwa gharama za Tanzania na kuzipangia bei ya Marekani; tuulizie kwa Msechu wanatumia vigezo wanapopanga bei za nyumba?

Chama
Gongo la mboto DSM
mapumzikoni Monga vyeru
 
Wewe andika Kiswahili kama lugha za watu huzijui. Quit finagling concepts out of a dilapidated azzbackwards lazy direct translation.

That is not the purpose maana yake nini in this context?

What is not the purpose?

What is the purpose?.......

- I know ni Kristmas sasa so pale dukani unapofanya kazi umezidiwa sana hasa ile section yao ya chupi za kina mama, pole sana huku bongo ni tambarare joto kwa wingi na leo tunajimwaga kwenye Koffi Olomide Leaders Club.

Wwe hangaika na snow na mabaridi hayo, huku tambarare sana hata mimi ningekwua kwenye hayo mabaridi ningekwua na hasiara sana na watu nisiowajua huku JF!!

ha! ha! ha! ha! ha! ha!

Es!
 
- Well, Mkurugenzi wa National Housing Corp. hapa bongo Bwana Nehemia Msechu, for sure he is my National Hero, yaani hili shirika kuna wakati lilikuwa linajifia lenyewe tukaambiwa na World Bank libinafsishwe haraka sana, nimeona Awamu zote kuaniza ya kwanza wakihangaika na hili shirika, until lilipopewa huyu kijana msomi.

- Sasa NHC ni moto wa kuotea mbali, hakuna ubia wala uwekezaji na wageni ni bongo kwa bongo tu, lakini sasa linapasua kwa kushindana na mashirika kama ya Bia na Sigara, ambayo yalitushinda wabongo, huwa ninajiuliza je hakuna kuna Nehemias wengine waliokosa nafasi kwenye Taifa, I mean kama unalisoma vizuri Shirika na Nyumba sasa ni kwamba hata mashirika ya Sigara na Bia hatukuwa na sababu ya kuyauza ila tatizo lilikuwa ni uongozi tu!

- I mean NEHEMIA MSECHU FOR PRESIDENT, Imagine huyu jamaa akipewa nafasi ya kwua Rais wa Jamhuri?

Es........

Tumpe nssf aondoe uharo uliopo.
 
- I know ni Kristmas sasa so pale dukani unapofanya kazi umezidiwa sana hasa ile section yao ya chupi za kina mama, pole sana huku bongo ni tambarare joto kwa wingi na leo tunajimwaga kwenye Koffi Olomide Leaders Club.

Wwe hangaika na snow na mabaridi hayo, huku tambarare sana hata mimi ningekwua kwenye hayo mabaridi ningekwua na hasiara sana na watu nisiowajua huku JF!!

ha! ha! ha! ha! ha! ha!

Es!

acha 'bangi' za asubuhi. Shirika la nyumba za matajiri. Unasifia matajiri
 
Kuendesha shirika la umma by fixing exorbitant rents & fees sioni how can that be regarded as an act of nationalism let alone heroism. Kuanza kuteuliwa kwake kuna kiza kingi, labda utuambie na wewe umejiunga na kambi ya Rizmoko na una-benefit na uepo wa huyu bwana. ila yana mwisho/
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom