Nehemiah Kyando Mchechu, ajiuzulu ujumbe wa Bodi EABL

Hilo ndilo swali ninalomuuliza , anajifanya yeye muadilifu. Muadilifu wapi hajapewa tu nafasi ya ulaji huyo. Wabongo kwa mbwembwe hatujambo
hana ishu huyo njaa tu na wivu kwanini kala mchechu mwenyewe
unadhani mchechu angempa bahasha katika huo upigaji angekuja kubwabwaja hapa
 
hana ishu huyo njaa tu na wivu kwanini kala mchechu mwenyewe
unadhani mchechu angempa bahasha katika huo upigaji angekuja kubwabwaja hapa
Anatuletea nadharia za kitoto hapa. Hata ningekuwa mimi au wewe au nani angepiga tu deal ikiwa nafasi ingeruhusu na ndivyo tunavyowaona viongozi wote wenye nafasi wakifanya

Huyo mwalimu mwenyewe alikuwa na moyo wa kipekee sana - kukaa ikulu miaka ya kutosha na kuondoka bila kupiga ,lakini ukichunguza watendaji wake wengi wao hawakuafikiana nae kwa hilo
 
Liache tu nalo lifuliwe. SI alimbomolea mbowe Billicanas?
Uadilifu kwa wanaopewa dhamana ni SiFuRI. Pamoja na mshahara na marupurupu mazuri bado aliwaza kupiga tu. Nawaza kwa sauti akina Malinzy, kitiliya, avveva walikosa nn mpaka kupigga mipesa ile?
 
Maisha yatakuwa ya hali juu wakati ana wasiwasi wa kufikishwa mbele ya sheria muda wowote?Hakuna maisha ya taabu duniani kama kuishi kwa WASIWASI wa kutojua nini kinafuatia kutokana na UOVU,UBADHIRIFU, DHULUMA, WIZI uliofanya !! huyo uliye mtaja na yule mwingine MNDOLWA hawana amani !!!
True
Awamu ya Tano hamna mchezo kabisa walahi
 
bado haikupi haki ya kumuona kuwa ni mkosaji kuliko wewe, soma tena nilichoandika. Mbona aliyewapiga 1.5T hamumsemi na kila siku yuko makanisani akitaka kuombewa
Hizo ambazo hazina ukweli ndio mnazitaja..lakini yale mabilioni yaliyoliwa kwenye mavyama yetu mnayakaukia kama hamjasikia vile..kwanini tusingeanzia huku CAG alipogundua maufujaji ya mabilioni then ndio tukimbilie huko ambako hakuna hata ushahidi...Rais mwwnyewe aliwaambia kama aliweza kutumbua wakurugenzi wale wa halmashauri za kigoma zinazoongozwa na upinzani ACT hivi angewezaje kuacha hiyo 1.5 kama imeliwa kweli..na dhamira ya mtu unaiona kabisaa..so acheni kudanganya wananchi na propaganda zenu zimeshastukiwa
 
Uadilifu kwa wanaopewa dhamana ni SiFuRI. Pamoja na mshahara na marupurupu mazuri bado aliwaza kupiga tu. Nawaza kwa sauti akina Malinzy, kitiliya, avveva walikosa nn mpaka kupigga mipesa ile?
Walah pesa ni shetani
 
Conflict of Interest, Ina maana ndefu kwa ufupi pale unapotumia Personal company na kupata tenda kwenye shirika unaloongoza mwenyewe, madhara yake

1.Miradi mingi bei walioverstate ili kampuni binafsi zipate pesa nyingi

2.personel company inanunua maeneo kwanza halafu unaliuzia shirika unaloendesha mwenyewe kwa bei kubwa
afu sehemu kubwa ya hela ilikuwa inarudi kwenye mamlaka ya uteuzi na nyingine iliifadhili Lumumba ku rig election.

wacha tu anyooshwe ili awataje partners-in-crime!
 
Anatuletea nadharia za kitoto hapa. Hata ningekuwa mimi au wewe au nani angepiga tu deal ikiwa nafasi ingeruhusu na ndivyo tunavyowaona viongozi wote wenye nafasi wakifanya

Huyo mwalimu mwenyewe alikuwa na moyo wa kipekee sana - kukaa ikulu miaka ya kutosha na kuondoka bila kupiga ,lakini ukichunguza watendaji wake wengi wao hawakuafikiana nae kwa hilo
Tanzania ni moja ya nchi (inaweza kuwa hata ya kwanza) inayoongoza kwa wizi. Mfanyakazi yoyote anapoajiriwa jambo la kwanza anafikiri namna ya kuiba. Na hata mimi zamani nilikuwa nafikiri kuwa huwezi kuajiriwa na kupata maendeleo bila kuiba.

Lakini baada ya kubarikiwa kutembelea nchi nyingine na kuona jinsi ilivyo aibu kwa mfanyakazi kuiba ndipo nilipogundua kuwa kumbe tunaamini jambo baya sana. Kuajiriwa bila kuiba inawezekena kabisa hasa kwa mtu aliyekuwa na mshahara na marupurupu mazuri kama huyo bwana.

Nashangaa wewe unatetea wizi unaoendekezwa na tamaa kali kama huu. Angalau angekuwa anapata mshahara mdogo ningeweza kuamini kuwa ni hali mbaya ya maisha ndiyo imemfanya aibe. Lakini kuiba ili kuishi maisha ya kifahari si jambo la kutetea.
 
Tanzania ni moja ya nchi (inaweza kuwa hata ya kwanza) inayoongoza kwa wizi. Mfanyakazi yoyote anapoajiriwa jambo la kwanza anafikiri namna ya kuiba. Na hata mimi zamani nilikuwa nafikiri kuwa huwezi kuajiriwa na kupata maendeleo bila kuiba.

Lakini baada ya kubarikiwa kutembelea nchi nyingine na kuona jinsi ilivyo aibu kwa mfanyakazi kuiba ndipo nilipogundua kuwa kumbe tunaamini jambo baya sana. Kuajiriwa bila kuiba inawezekena kabisa hasa kwa mtu aliyekuwa na mshahara na marupurupu mazuri kama huyo bwana.

Nashangaa wewe unatetea wizi unaoendekezwa na tamaa kali kama huu. Angalau angekuwa anapata mshahara mdogo ningeweza kuamini kuwa ni hali mbaya ya maisha ndiyo imemfanya aibe. Lakini kuiba ili kuishi maisha ya kifahari si jambo la kutetea.
Anaetetea wizi ni nani hapa? Nakupinga wewe unayemhukumu mchechu kwa wizi ilhali hata wewe ungepewa nafasi ile aliyokuwepo ungeiba tu kama unavyokubali hapa kuwa kabla hujaenda huko ughaibuni uliamini hivyo
 
Lete full story mkuu. Jamaa hasa tatizo ni nini??
Alikuwa mpigaji sana huyo... Tenda na makampuni hayo ya tenda kabla ya kusimamishwa akiwa NHC and ardhi deals + banks deals amepiga kiujanja janja sana sema JPM akamtumbua haraka sana sbb alijua kila kitu...!! Nategemea sheria itachukua mkondo wake
 
Mzee wa Mbezi Beach, mtoa michango kanisani kwa pesa za utapeli.

Hivi inakuwaje unapiga madeal halafu jumapili unatoa sadaka na michango kanisani kujisafisha

Katika maisha bora uwe na Standard life inayokupa furaha au happiness kuliko hawa walitafuta Standard of living ili kusifiwa na kukidhi haja ya tamaa za roho

Sasa anaishi kwa mawazo sana hajui kesho itakuwaje, anaenda kanisani na Jumuiya kwa kuvizia hata watoto wanajua kitaa jamaa kumbe kaiba

Namuonea huruma sana sema ndio safari ya maisha
Hata wazinzi na wasengenyaji huenda church na kutoa sadaka
 
Chuki mbaya.. Napita tu mwanawani
Ila ungejua Mchechu.. Alikoitoa NHC... Ungemtukuza Mungu Kwa hilo..kwamba tunao watanzania wanaweza kuzisimamia Mali zetu Kwa ufanisi.. Hili la kuondolewa Mchechu NHC. ..lina mengi ndani ila time will tell
Wananchi hawawezi nunua nyumba za NHC halafu unasema kumtukuza Mungu. Utakuwa unatania wewe!
 
Anaetetea wizi ni nani hapa? Nakupinga wewe unayemhukumu mchechu kwa wizi ilhali hata wewe ungepewa nafasi ile aliyokuwepo ungeiba tu kama unavyokubali hapa kuwa kabla hujaenda huko ughaibuni uliamini hivyo
Hivi wewe ni binadamu ama roboti!?

Maana mawazo yako utadhani umekuwa "programmed" kuandika unachokiandika. You do not reason at all!

Jaribu basi kusoma hoja ya mtu na uilewe na sio kila mara unaandika vitu "irrelevant".
 
Ndugu acha mawazo yakimaskini...
Kama ni tapeli mbona hajapelekwa mahakamani....kwaakili yako unadhani chuki zitakuondolea umaskini Fanya kazi
Mahakamani hupelekwi kama unavyopelekwa chooni shekhe. Kuna taratibu zake.

Hivi kweli kulikuwa na haja ya mtu mzima kama wewe kuelezwa hata hilo, kweli!?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom