Neema Village, Mzungu anayebadilisha maisha ya Wakina Mama Arusha, serikali yetu inakwama wapi?

Zipo NGO nyingi nchini kwetu zinazosadia wananchi wenzetu in many ways. Fikira zetu pengine ni midogo sana kwa kuwa tunawabagua na asili zao. Practically on ground levels, let us be realistic?
 
Hao Wazungu wamebyenyekewa bila hata kujua wana histora gani huko walikotoka
Sio hilo tu kwa mzungu atapata vibali vyote fasta na hata kuonana na mkubwa kabisa katika idara

Sasa aje Diaspora mswahili mwenzangu aseme anataka kusaidia ndugu zaidi hivyo hivyo ataishia kuonana na mlinzi na wafanyakazi wa chini kabisa na mwisho wa siku hapati kitu kwa vigingi atakavyowekewa

Hatupendani ndio ukweli huo na Mzungu kuna watu wanamuona kama mungu
 
Tujiulize, yeye na wenzake wanafaidika nini hasa? Manake tusifurahie hii misaada in the name of misaada. In the end kuna namna anafaidika tu. Hakuna mtu mweupe mjinga mjinga.
Wenzetu huko kwao wanao utaratibu wa kuchangishana pesa ili wazilete kusaidia African people.
Wanatoa kama sadaka.
Sasa kama unatumia na kuvaa mitumba yao watashindwaje kukupa msaada for free!?
 
Yap kwa kutumia proposals zinazo gusa jamii kupitia video na picha na makampuni ya utalii lazima apige mpunga mwingi wa kutosha...we calling Philanthropy

Ni mawazo yako tu

Arusha kuna NGO nyingi sana zinazosaidia watu na wala hawapati chochote in return

Wenzetu wanautaratibu wa kutoa sadaka kwa wahitaji tofauti na sisi tunatoa sadaka kwa wachungaji
 
Mwizi Hana akili ya kuwekeza. Unakuta waziri Fulani amepiga mabilioni sana sana atakachowekeza Ni kujenga nyumba za kupangisha Mbweni na Mbezi beach, kununua shamba Kibaha misugusugu na kuweka ng'ombe na mbuzi. Zingine kumnunulia wife harrier, nyumba ndogo Nissan dualis. Hawana akili ya kuwekeza hata kiwanda Cha maji.
Bure kabisa

Jamaaa umewagusa
 
Wazungu nao Ni binadamu.
Jiulize wale wazungu waliokuja pwani ya afrika mashariki na kuzuia mababu zako wasichukuliwe na waarabu kwenda kuwa watumwa walifaidika na Nini?
Jiulize World vision,
JICA,
NORAD,
DOCTORS WITHOUT FRONTIERS,
CCBRT
SIDA wanafaidika na Nini?
Walishasahau absolute poverty na wanajitahidi kusaidia wengine wanaopambana nayo. Hawajui kuwa absolute poverty ndiyo mtaji wa CCM.
 
Very nice.

I think mambo mengi yanafanywa na charity mbalimbali Tanzania sema huwa hazidumu. Huyu atakua na uzoefu na maswala ya ku run hio charity yake,mama yetu Samia afanye kumpa kitengo kabisa sababu anayo " technical -know-how " ya jinsi ya kuwafikia wenye uhitaji mbalimbali kwa kutumia limited resources zilizopo na juhudi binafsi
 
Angeanzisha mswahili angefuatiliwa hela katoa wapi.

Hukohuko Arusha Kuna shule iliyokua inatoa elimu kwa vijana wasio na uwezo wa kulipa ada, matokeo yake walipata bill ya TRA ya kufa mtu. Hivi Ile shule ilishafunguliwa?
Mzungu kila Jpili huko kwao wanachsngia makanisani, hivyo hawakaukiwi.
 
Back
Top Bottom