johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma wamemshukuru Waziri mkuu kutokana na serikali kutoa zaidi ya sh 6 bilioni za kununulia mahindi yaliyokwama majumbani mwao kwa kukosa wanunuzi.
Waziri mkuu Majaliwa yuko mkoani Ruvuma katika ziara ya kikazi.
Source ITV habari!
Waziri mkuu Majaliwa yuko mkoani Ruvuma katika ziara ya kikazi.
Source ITV habari!