Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu??
Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi.Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu??
Imekula kwao.Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi.
Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi