Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,116
- 15,609
Mambo ya imani bwana yako very complicated na ukiamua kuyaendekeza sana kuna siku yanaweza kukutokea puani.Sawa kabisa. Sasa kuna zile kazi ambazo ni mandatory, mfano manesi, Madaktari, nk,
Hakuna mtu anaye ingilia imani ya mtu.
Cha msingi, unaongea kwa unyenyekevu na Bosi wako, anafanya arrangement kwamba siku yako ya ibada anapangwa mtu mwingine.
Siyo unajiamulia tu unaingia mitini kisa, wewe Msabato! Na mbaya sana watu fulani hutumia sababu hiyo kwa uwongo mtupu, kumbe alikuwa ameenda kufanya mambo yake!