eshSamahan wakuu kujua kama MTU amefaulu au amefeli unaangalia nini au ni wastani gan unaangaliwa maana me pale naona majina tu na matokeo yao!!!
udini umewakaa sana! Waajiri walimu wasio na IMANI yao watafurahia matokeo
umekula maharagwe ya wapi wewe,hebu soma hiyo sentensi tena,,,usilete mihemuko yapo hapa,Katika mikoa yenye wachawi sijawahi isikia Tanga......
Shule gani mkuu?Naona shule yangu ya miaka hiyo imekimbiza wilaya ya musoma mjini kama kawaida yao.....
Kumbe upo?!!! Umemtelekeza mkeo BH kuleeApp. yenyewe mizinguo
John Bosco Academy mkuu..... sisi ndio tuliokuwa wahenga wa shule hiyo miaka hiyoShule gani mkuu?
Home sweet home
inashangaza eh!Mmmh
inashangaza kusema naomba link ya necta teh, link ya kitu gani sasa au yoyote tu ilmradi nectainashangaza eh!