Evans Richard Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 365
- 750
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.
All the best Comrades, see you at the top.
===
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.
Kwa mujibu wa Necta iliyotangaza matokeo hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 kupitia kwa katibu mtendaji wake, Dk Charles Msonde, watahiniwa 434,654 walifanya mtihani huo na 373, 958 wamefaulu katika madaraja mbalimbali. Dk Msonde amesema kwa matokeo hayo kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 5.19.
Katika mtihani huo Paul Luziga wa sekondari ya Pandahill iliyoko Mbeya amekuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa.
Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne
1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.
Shule bora kitaifa ni St Francis Girls Secondary School kutoka MBEYA.
Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha
Link ya matokeo kamili
https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm
=====
MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020: NECTA YASEMA UFAULU UMEONGEZEKA KWA 5.19%
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Watahiniwa wa Shule 373,958 (85.84%) kati ya 434,654 waliofanya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne 2020 wamefaulu
Ameeleza kuwa, idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 5.19 ikilinganishwa na matokeo ya Mitihani ya mwaka 2019 ambapo Watahiniwa waliofaulu walikuwa 340,914 (80.65%)
Amesema Wasichana 193, 672 sawa na 85.44% wamefaulu Mitihani hiyo huku Wavulana wakiwa 182,086 sawa na 86.27%. Watahiniwa wapatao 490,213 walisajiliwa kufanya Mitihani hiyo
All the best Comrades, see you at the top.
===
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.
Kwa mujibu wa Necta iliyotangaza matokeo hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 kupitia kwa katibu mtendaji wake, Dk Charles Msonde, watahiniwa 434,654 walifanya mtihani huo na 373, 958 wamefaulu katika madaraja mbalimbali. Dk Msonde amesema kwa matokeo hayo kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 5.19.
Katika mtihani huo Paul Luziga wa sekondari ya Pandahill iliyoko Mbeya amekuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa.
Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne
1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.
Shule bora kitaifa ni St Francis Girls Secondary School kutoka MBEYA.
Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha
Link ya matokeo kamili
https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm
=====
MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020: NECTA YASEMA UFAULU UMEONGEZEKA KWA 5.19%
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Watahiniwa wa Shule 373,958 (85.84%) kati ya 434,654 waliofanya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne 2020 wamefaulu
Ameeleza kuwa, idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 5.19 ikilinganishwa na matokeo ya Mitihani ya mwaka 2019 ambapo Watahiniwa waliofaulu walikuwa 340,914 (80.65%)
Amesema Wasichana 193, 672 sawa na 85.44% wamefaulu Mitihani hiyo huku Wavulana wakiwa 182,086 sawa na 86.27%. Watahiniwa wapatao 490,213 walisajiliwa kufanya Mitihani hiyo