Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde anatangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu iliyofanyika Mei 2021.
Ameeleza kuwa ufaulu wa wanafunzi umeongezeka kwa asilimia 0.11 ikilinganishwa na mwaka 2020.
Dkt Msonde amesema hayo leo visiwani Zanzibar na kuongeza kuwa ubora wa ufaulu umeimarika kwa asilimia 0.19 kutoka asilimia 97.74 mwaka 2020 hadi asilimia 97.93 mwaka huu.
Ameeleza kuwa ufaulu wa wanafunzi umeongezeka kwa asilimia 0.11 ikilinganishwa na mwaka 2020.
Dkt Msonde amesema hayo leo visiwani Zanzibar na kuongeza kuwa ubora wa ufaulu umeimarika kwa asilimia 0.19 kutoka asilimia 97.74 mwaka 2020 hadi asilimia 97.93 mwaka huu.