digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,890
- 14,339
Shit at its best.Mtoto wa mchepuko wangu kapiga B ya Maarifa ya Jamii na masomo mengine yote A. Nawaza zawadi ya kumpa lakini inategemeana na baba yake atampa zawadi gani kwanza
Shit at its best.Mtoto wa mchepuko wangu kapiga B ya Maarifa ya Jamii na masomo mengine yote A. Nawaza zawadi ya kumpa lakini inategemeana na baba yake atampa zawadi gani kwanza
Grade 8Hivi ni mwisho grade gani mtoto anaweza kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza?
Nd'o wewe baba wa huyo mtoto?Shit at its best.
Mabinti waliofeli ndo wanakuja kitaa sasa
Nadhani vijijini ndoa zitakuwa nyingi
Wezi wazuri.Mbona awamu hii shule kutoka lake zone zinaongoza sana?
Dah...ni average gani? Nilikosea mkuuGrade 8
Dr Msonde “This group will not get another chance of re-sitting the exam and it should serve as a lesson for others who plan to do the same… We will not allow them to use those methods to get results,” he insisted.MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA. SHULE 38 ZAFUTIWA MATOKEO KWA UDANGANYIFU
Baraza la Mitihani nchini #Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kuhitimu Elimu ya Msingi ambapo limezifutia matokeo Shule 38 za Msingi kutokana na udanganyifu uliofanyika wakati wa Mitihani hiyo ya Taifa
Shule hizo 38 kati ya 17,329 ambazo zilifanya mtihani, ziligundulika kukiuka Kanuni na Usimamizi wa Mitihani baada ya Wanafunzi 1,059 kuonekana kuwa na ufanano mkubwa wa majibu. Shule hizo ni kutokea Mikoa ya Geita, Morogoro, Simiyu, Arusha na Tabora
===
Kupitia Facebook page ya NECTA, katibu mkuu ametangaza matokeo ya darasa la Saba, ingia kwenye website ya NECTA
RESULTS
View attachment 1631485View attachment 1631486View attachment 1631487View attachment 1631488View attachment 1631489View attachment 1631490View attachment 1631491View attachment 1631493View attachment 1631494