The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
Hivi hii REFERRED ndiyo anarudia darasa au hata wa division four nao wanarudia?
Hpn hawarudii vigezo vya kufaulu ni upate D mbili au C moja ,refered anarudiaHivi hii REFERRED ndiyo anarudia darasa au hata wa division four nao wanarudia?
Okay Asante, wajomba zangu wameponaHpn hawarudii vigezo vya kufaulu ni upate D mbili au C moja ,refered anarudia
4, huwezi kuzijua hizo namba mpaka mtahiniwa mwenyewe akupeHii tabia ya kutangaza matokeo ni moja ya sheria mbaya tulizorithi,wapi ile Protection of personal information ndani ya nchiyetu?kila mtahiniwa awasaliane na shule au kituo chake ili apate matokeo yake,kuyaweka matokeo kwenye hizi social media ni uvunjaji wa sheria.
we jamaa aseeHii tabia ya kutangaza matokeo ni moja ya sheria mbaya tulizorithi,wapi ile Protection of personal information ndani ya nchiyetu?kila mtahiniwa awasaliane na shule au kituo chake ili apate matokeo yake,kuyaweka matokeo kwenye hizi social media ni uvunjaji wa sheria.
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Wametangaza Matokeo.
kitado cha Nne 2021
Kidato Cha Pili (FTNA)
Darasa la Nne (SFNA)
View attachment 2082061
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yamepangwa kwa kuangalia namba ya shule so unashuka then unafungua na shule yoyote naangalia namba yake, Kama inakaribiana basi unashuka kidogo chiniMatokeo ya form two ni balaa tupu yamechanganywa kama uchafu jalalani hamna mpangilio wa shule unatumia zaidi ya Masaa matatu kupata shule unayoitaka... Tz ya viwonder
Mambo ya kipumbavu kabisa bado yanapigiwa debe karne ya 21.Nimeshangaa sana
Jiulize, toka tumeanza ku grade hawa watoto na matokeo, tumepata faida gani ama mtu akipata one ya 7 anakua na mchango gani kwenye nchi hasa kwenye uvumbuzi, ubunifu, utafiti nk.Professor mmoja mmarekani alikuwa anachukia kweli hii system...basi somo lake usipohudhuria practical na kushiriki project..unatudia mwaka
Basi class tulijaa sana, hakosi mtu, mwisho wa siku unakula pass yako
Ni kweli mkuu, hizi 1.7 hutumika kuvimbia mtaani tuJiulize, toka tumeanza ku grade hawa watoto na matokeo, tumepata faida gani ama mtu akipata one ya 7 anakua na mchango gani kwenye nchi hasa kwenye uvumbuzi, ubunifu, utafiti nk.
Mhuu mfumo wa elimu unaua ubunifu, ugunduzi na uvumbuzi.
Dhana ya elimu imepotea kabisa.
Haya yote wanayajua ila sasa wanaona wakifanya reform itakuwa ngumu kutawala watu wanaojielewa,,, ko wanaendeleza huu ujinga makusudHata wangebaki nayo hakuna maana bila ku-reform curriculum ni utumbo wa mbwa