Habari waungwana.
Moja la sharti la kupata cheti mbadala kutoka NECTA baada ya cha awali kupotea, kuungua n.k ni lazima kiwe na picha. Kwa maana hiyo kwa wale waliohitimu kuanzia 2007 kushuka huwezi pata cheti mbadala maana havina picha.
Nafikiri lengo ni kuzuia udanganyifu ila swali langu ni kwamba vyeti kama cha uraia, mpiga kura, leseni, leaving certificate n.k hawiwezi kumthibitisha muomba cheti mbadala kisicho na picha? Ni kwamba imeshindikana kabisa kumthibitisha muomba cheti mbadala kisicho na picha?
Moja la sharti la kupata cheti mbadala kutoka NECTA baada ya cha awali kupotea, kuungua n.k ni lazima kiwe na picha. Kwa maana hiyo kwa wale waliohitimu kuanzia 2007 kushuka huwezi pata cheti mbadala maana havina picha.
Nafikiri lengo ni kuzuia udanganyifu ila swali langu ni kwamba vyeti kama cha uraia, mpiga kura, leseni, leaving certificate n.k hawiwezi kumthibitisha muomba cheti mbadala kisicho na picha? Ni kwamba imeshindikana kabisa kumthibitisha muomba cheti mbadala kisicho na picha?