NECTA mmekua watu wa ajabu sana siku hizi!

Bususwa

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
391
873
Jana baada ya matokeo ya kidato cha Nne kutangazwa mambo mengi sana yaliibuka! Moja wapo ni pamoja na NECTA kukataa kutangaza shule bora, na wanafunzi bora!

Hili ni jambo la hovyo na la ajabu kweli kweli katika dunia yetu hii ya leo, watu wanaficha nini?? Ili iweje??

Jambo jingine na la hovyo kabisa ni kua na makosa ya kiandishi! Hivi mfano wao wanaandika COMPENTENCY wakati neno sahihi ni Competency!


Mbona wakati wa Dkt Charles Msondo haya mambo hayakuwepo??

Pia inakuaje jinsia ya me asajiriwe kwenye jinsia ya Ke??
Screenshot_20230130-151025.jpg
JamiiForums-850645121.jpg
 

donga

JF-Expert Member
Sep 13, 2017
1,769
2,949
😁😁😁😁shule ni girls halafu kuna male mmoja kafaulu

Sema bongo kuna CIA na FBI wa kujitegemea
 

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Dec 6, 2015
7,390
6,279
Japo kuna kanuni na sheria za kuongoza baraza hilo utashi binafsi wa mtendaji mkuu wake unahusika katika maamuzi. Kila kiongozi wake huja na mambo yake hata kama ni ya hovyo
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom