NECTA Imesitisha Utaratibu wa Kutwngaza Shule Bora na Wanafunzi Bora.Nini Maoni Yako?

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,382
8,437
Wakuu habari zenu..

Baraza la Mitihani la Taifa NECTA limesema Limesitisha utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi Bora,shule Bora na Mikoa iliyofanya vizuri na vibaya Kwa sababu za kwamba eti kufanya hivyo sio sawa Kwa sababu mazingira hayafanani na pia ni kufanyia matangazo shule..

Binafsi sijaridhishwa Kwa hizo sababu maana naona hazina Tija ila Zina malengo ya chuki Kwa shule binafsi na za dini..

Pia motisha na kujitathmini kutakuaje Kwa watoto na shule au Mikoa husika ikiwa mambo yanaenda kibubh bubu?

Je huu ni msimamo wa serikali au wa Baraza?

Nini maoni Yako Ukiwa kama mdau wa Elimu? 👇

 
Wameona shule za CCM zimefeli na aibu juu
Screenshot_2023-01-29-13-47-13-515_com.mi.globalbrowser.jpg
 
Kuna mantiki katika uamuzi huu. Sababu mitihani kwa sasa imekua 'rahisi' wanafunzi wengi wanafaulu, na shule zimekuwa nyingi... Haina haja ya ku''arrange'' top ten.. One za saba zipo nyingi mnoo..
 
Kila shule kwenye matangazo ya nafasi za masomo utasikia

"Shule ilikuwa ya kwanza kimkoa matokeo ya kidato cha nne, pili au darasa la saba", unabaki unajiuliza, kwani nafasi ya kwanza inashikwa na mmoja au na kila shule ya binafsi.
 
Kila shule kwenye matangazo ya nafasi za masomo utasikia

"Shule ilikuwa ya kwanza kimkoa matokeo ya kidato cha nne, pili au darasa la saba", unabaki unajiuliza, kwani nafasi ya kwanza inashikwa na mmoja au na kila shule ya binafsi.
Sasa saizi ndio watazidi maana hakuna anaejua
 
Wakuu habari zenu..

Baraza la Mitihani la Taifa NECTA limesema Limesitisha utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi Bora,shule Bora na Mikoa iliyofanya vizuri na vibaya Kwa sababu za kwamba eti kufanya hivyo sio sawa Kwa sababu mazingira hayafanani na pia ni kufanyia matangazo shule..

Binafsi sijaridhishwa Kwa hizo sababu maana naona hazina Tija ila Zina malengo ya chuki Kwa shule binafsi na za dini..

Pia motisha na kujitathmini kutakuaje Kwa watoto na shule au Mikoa husika ikiwa mambo yanaenda kibubh bubu?

Je huu ni msimamo wa serikali au wa Baraza?

Nini maoni Yako Ukiwa kama mdau wa Elimu? 👇


Hawataki kuona shule za Makanisa zikiwa nyingi kwenye top ten. Mengine porojo tu.
 
Kenya wameondoa mitihani kabisa ..
Inapaswa kuondoa na mitihani kabisa..
Twende na dunia inavyo kwenda ..
Tuwe na mifumo inayompa mtoto maarifa na sio kukariri history ya Dr Livingston ya uongo....
Kwanza lengo la mtihani ni kufanya Evaluation kujua Objectives zimefikiwa kwa kiwango gani baas!!

Now imekuwa ni fashion na biashara maana hatujali tena elimu bali ni kukaririshwa mitihani na kufaulu.

Ukimchukua mtoto aliyepata Div one ukamuuliza alojifunza shule na application yake kwenye real life anakula kona.
 
Hawataki kuona shule za Makanisa zikiwa nyingi kwenye top ten. Mengine porojo tu.
ACHENI Chuki Wakristo .
Wakristo Mnashiriki Kwa kiwango kikubwa kujenga au kubomoa ufalme Wa Mungu Duniani.
Kwa Sasa Watu katili sana Duniani ni wakristo lakini wamebeba roho za Warumi na Mafarao Wa zamani . Wakristo walifundishwa upendo na kuwajali Jirani lakini Kwa Sasa kama Kuna MTU unayeweza kuishi Naye MBALI ni Mkristo.
Zamani Hata ndoa za Kikristo ziliwavutia sana Waislam mpaka wengi wakapenda kuolewa na Wakristo lakini Kwa Sasa sio. Shetani amejikita sana katikati ya Wakristo kuliko ilivyokuwa .

Hizi Shule ni Biashara za Watu waliokuwa wanafanya KAZI kwenye wizara ya Elimu .
Ni Biashara ya Watu wasio waaminifu Ndani ya Serikali.
Ukifuatilia kama Kweli wewe ni Mkristo halisi utagundua kuwa Wanaomiliki hizo Shule ni wale tunaowategemea wabadili mitaala ya Elimu Ili Shule za Umma ziwe Bora . Matokeo yake wanaokwamisha sana Serikali.

Shule za Kanisa ni huduma na hazipo pale Kwa ajili ya KUTOA division one kushindana na Shule nyingine.
Seminari zipo Kwa ajili ya kuandaa watumishi Wa taasisi za Dini husika . Sasa wanashindanishwaje na Shule zinazoatoa elimu Kwa WOTE Ili watu wajue kusoma na kuandika .
Kama hizo Shule ni Bora sana mbona wanachuja wanafunzi Kuanzia wanapoingia .?
Yaaani anayeingia Lazima awe na maksi wanazozitaka wao . Kwa hiyo wanamchukua mwanafunzi Mwenye uwezo SIO waliompa uwezo wao.
Tungeziona ni Shule za Kimungu kama zingewachukua wanafunzi Wenye marks za chin Kisha ziwainue mpaka wapate ufaulu Wa juu.

Wanachukua mwanafunzi mwenye A Form one halafu akifika form two akipata Two wanamuondoa halafu unasema kuwa wanachukiwa .Wao ndio Wenye Chuki na jamii mana hawawainui watoto waliotokea kwenye familia zisizo na fursa na mwamko wa kielimu kama ilivyokuwa zamani.

Leo hii Kuna watoto wanazaliwa kwenye familia ya Wasomi na kukulia kwenye mazingira hayo halafu unataka uwallinganishe na Watoto Waliozaliwa kwenye mazingira yaliyokuwa a fursa ya kielimu.

Kuna Wakati watu wanasema kuwa Labda kabila Fulani wanaakili sana bila kujua kuwa ni Fursa za kihistoria kama vile Wamisionari kuwasomesha watu Wa MAKABILA Fulani waliokua wamewaandaa Kwa ajili ya kuwa watumishi Wa makanisa Yao na Shule ZAO.

Ndio Maana Mfano Wamakonde Wa Masasi ni Wamakonde Kama WENGINE lakini wamesoma sana kutokana na Historia ya Wamisionari. Hata watoto Wao wanafanya vizuri SIO usala la Dini au kabila ni Suala la kihistoria.
Leo hii wachina wanaonekana wanaakili sana Lakini wakati Wa miaka ya Nyuma katika umaskini Wao uliowanyima fursa za kuifikia Dunia ya magharibi na kujifunza Mengi ZAIDI walionekana kuwa hawana akili.

Wapo Watoto wengi Wa maskini Wenye vipaji vikubwa sana Lakini hawapati Fursa ya kulikomboa taifa mana wanalazimishwa kukariri kuwa Mji mkuu Wa Wa Japani ni Tokyo. Wakati Wao wanauwezo Wa Kuiga injini ya pikipiki na kuitengeneza lakini wamepelekwa kwenye Shule ya Kata isiyo na Karakana Wala maabara. Mtoto Wa Waziri amepelekwa India au Kanada kusoma na kule ni starehe tu Lakini atarudi amefaulu na kuupata KAZI Kwenye miradi ya Malaria na Covid 19 au UN. Watoto wanakulia Tena Ubeligiji. Wakiwaona Watoto Wa maskini Wana maksi za chini wanasema hawana akili kutokana na Kabila au Dini.
 
ACHENI Chuki Wakristo .
Wakristo Mnashiriki Kwa kiwango kikubwa kujenga au kubomoa ufalme Wa Mungu Duniani.
Kwa Sasa Watu katili sana Duniani ni wakristo lakini wamebeba roho za Warumi na Mafarao Wa zamani . Wakristo walifundishwa upendo na kuwajali Jirani lakini Kwa Sasa kama Kuna MTU unayeweza kuishi Naye MBALI ni Mkristo.
Zamani Hata ndoa za Kikristo ziliwavutia sana Waislam mpaka wengi wakapenda kuolewa na Wakristo lakini Kwa Sasa sio. Shetani amejikita sana katikati ya Wakristo kuliko ilivyokuwa .

Hizi Shule ni Biashara za Watu waliokuwa wanafanya KAZI kwenye wizara ya Elimu .
Ni Biashara ya Watu wasio waaminifu Ndani ya Serikali.
Ukifuatilia kama Kweli wewe ni Mkristo halisi utagundua kuwa Wanaomiliki hizo Shule ni wale tunaowategemea wabadili mitaala ya Elimu Ili Shule za Umma ziwe Bora . Matokeo yake wanaokwamisha sana Serikali.

Shule za Kanisa ni huduma na hazipo pale Kwa ajili ya KUTOA division one kushindana na Shule nyingine.
Seminari zipo Kwa ajili ya kuandaa watumishi Wa taasisi za Dini husika . Sasa wanashindanishwaje na Shule zinazoatoa elimu Kwa WOTE Ili watu wajue kusoma na kuandika .
Kama hizo Shule ni Bora sana mbona wanachuja wanafunzi Kuanzia wanapoingia .?
Yaaani anayeingia Lazima awe na maksi wanazozitaka wao . Kwa hiyo wanamchukua mwanafunzi Mwenye uwezo SIO waliompa uwezo wao.
Tungeziona ni Shule za Kimungu kama zingewachukua wanafunzi Wenye marks za chin Kisha ziwainue mpaka wapate ufaulu Wa juu.

Wanachukua mwanafunzi mwenye A Form one halafu akifika form two akipata Two wanamuondoa halafu unasema kuwa wanachukiwa .Wao ndio Wenye Chuki na jamii mana hawawainui watoto waliotokea kwenye familia zisizo na fursa na mwamko wa kielimu kama ilivyokuwa zamani.

Leo hii Kuna watoto wanazaliwa kwenye familia ya Wasomi na kukulia kwenye mazingira hayo halafu unataka uwallinganishe na Watoto Waliozaliwa kwenye mazingira yaliyokuwa a fursa ya kielimu.

Kuna Wakati watu wanasema kuwa Labda kabila Fulani wanaakili sana bila kujua kuwa ni Fursa za kihistoria kama vile Wamisionari kuwasomesha watu Wa MAKABILA Fulani waliokua wamewaandaa Kwa ajili ya kuwa watumishi Wa makanisa Yao na Shule ZAO.

Ndio Maana Mfano Wamakonde Wa Masasi ni Wamakonde Kama WENGINE lakini wamesoma sana kutokana na Historia ya Wamisionari. Hata watoto Wao wanafanya vizuri SIO usala la Dini au kabila ni Suala la kihistoria.
Leo hii wachina wanaonekana wanaakili sana Lakini wakati Wa miaka ya Nyuma katika umaskini Wao uliowanyima fursa za kuifikia Dunia ya magharibi na kujifunza Mengi ZAIDI walionekana kuwa hawana akili.

Wapo Watoto wengi Wa maskini Wenye vipaji vikubwa sana Lakini hawapati Fursa ya kulikomboa taifa mana wanalazimishwa kukariri kuwa Mji mkuu Wa Wa Japani ni Tokyo. Wakati Wao wanauwezo Wa Kuiga injini ya pikipiki na kuitengeneza lakini wamepelekwa kwenye Shule ya Kata isiyo na Karakana Wala maabara. Mtoto Wa Waziri amepelekwa India au Kanada kusoma na kule ni starehe tu Lakini atarudi amefaulu na kuupata KAZI Kwenye miradi ya Malaria na Covid 19 au UN. Watoto wanakulia Tena Ubeligiji. Wakiwaona Watoto Wa maskini Wana maksi za chini wanasema hawana akili kutokana na Kabila au Dini.
Feza Boys/Girls ni shule za Makanisa bila shaka. Tafakari ndiyo ujibu!
 
Back
Top Bottom