Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,286
- 2,069
Hata Malawi simu janja iliwaponza sana ndio maana uchaguzi ukarudiwa.Vyama vya upinzani nawashauri wanunue vyombo vya kurekodi na kupiga picha kama kalamu, saa, miwani nk vitawasaidia mbeleni.
Vinapatikana wapi vitu hivyo na kwa bei gani?