real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC imekubaliana na rufaa zilizowasilishwa na wagombea 6 wa CHADEMA na hivyo wagombea hao wote walioenguliwa wamerejeshwa katika uchaguzi.
Kadhalika tume hiyo imezikataa rufaa za wagombea wengine 9 wa vyama vingine dhidi ya wagombea wa CHADEMA.
Kadhalika tume hiyo imezikataa rufaa za wagombea wengine 9 wa vyama vingine dhidi ya wagombea wa CHADEMA.