Nyanyama92
Member
- Nov 6, 2017
- 9
- 1
Mkurugenzi wa Uchaguzi ametoa ufafanuzi mzuri sana. Tunaoshabikia tujipime hoja zetu ziko wapi?Ni kweli kwa kuwa TZ hatuna jumuiya kama hizo
Mkurugenzi wa Uchaguzi ametoa ufafanuzi mzuri sana. Tunaoshabikia tujipime hoja zetu ziko wapi?Ni kweli kwa kuwa TZ hatuna jumuiya kama hizo
Mkuu,ushahidi hupingwa kwa ushahidi! Wewe unao?au ndiyo hayohayo mabakuli wazi.Unaushahidi Kibiti Chadema walihusika?Kama huna funga mdomo huna haki ya kuwatuhumu wasiohusika wakati wahusika wakuu ni nyie wenyewe CCM.
Kwanini muwaue badala ya kuwakamata ili wapelekwe mahakamani kutoa ushahidi??Mnawaua sababu mnajua mnachokifanya.
Pole sana wale watanzania wa enzi za JKN wamebaki CCM tu.
Uchaguzi wowote unaofanywa kwa MAPANGA na MTUTU wa bunduki si uchaguzi ni uchafuzi,na mnatumia nguvu kubwa kupiga,kujeruhi na hata kuua,ukiona chama tawala kinaua RAIA wake ili kichaguliwe basi ujue hakina MORAL authority ya kuitwa chama cha siasa bali chama cha MAUAJI