NEC yataka ushahidi vituo hewa vya wapiga kura kutoka kwa Wanasiasa wanaosambaza taarifa hizo

Tume wanasema ni vituo 80,155 na grand total yangu ni ya 80,155 hiyo 81 nimetype kwa makosa. Tume inasema kila kituo kina watu 450-500. Rejea wanachosema na sio utakacho.
ok tying error umerekebisha sasa unasemaje kuhusu Mbowe ambaye anasema kaweka mawakala vituo 81,160 unampinga au? yeye naona yuko juu ya hesabu za tume na za kwako.Mumeanza kupingana wenyewe kwa wenyewe?

tume inasema kituo kisizidi 450 hadi 500 unaelewa maana yake ni hivi mfano kituoni waliojiandisha wako 500 maana yake kituo kimoja kitakuwa na watu 450 kingine kitakuwa na watu 50 au kituo waliojiandikisha wakiwa elfu moja maana yake vituo viwili vitakuwa na watu 450 kila kimoja na cha mwisho kitakuwa na watu 100

au kama kwenye kituo waliojiandikisha wako 70 maana yake hicho kituo kitakuwa na watu sabini hao hao sababu wako chini ya 450

Sio amri kuwa sehemu zote zina evenly distribution ya wapiga kura
 
Hahaha kama zinewafikia taarifa wazifanyie kazi, wanalipwa na ndio sababu ya kupewa pesa na magari.

Wasikae ofisini wasubiri kuletewa, magari yawapekeke huko kwenye malalamiko, siyo usafiri wao binafsi kwenda kazini na kurudi nyumbani.
 
Kwanza na tujiulize ni kwa muda gani vituo vya kupiga kura vitakuwa wazi? Inakadiriwa kuchukua muda gani kwa mpiga kura mmoja kukamilisha zoezi zima la kupiga kura?

Tuseme vituo vitakuwa wazi kwa masaa 10, ina maana kwa watu 500 kwa kila kituo, watu 50 watapiga kura kwa kila saa moja, kila mpiga kura atachukua dakika 10 kuthibitishwa kama anastahiki kupiga kura na kukamilisha kupiga kura! Dakika 10!? Dakika 10? Is this a joke? Itachukua zaidi ya dakika 5 kuangalia kama mtu yumo au hayumo katika daftari la wapiga kura? Waangalizi wa majina ni wanafunzi wa darasa la nne? Si kila kitambulisho kina nambari ya kipekee, itachukuaje zaidi dakika tano kutafuta jina la mtu kwenye daftari?
hiyo ni maximum time ndio maana vituo vingine vya kupiga kura humaliza zoezi mapema tu isikupe shida queuing theory za hesabu hizo mkuu lakini si kwamba it is a must dakika kumi!!!
 
Ndio maana nikapiga kwa 450, hata ukipiga kwa 400 bado itazidi 29m+. Wizi mtupu.
hesabu ulifeli wewe mfano eneo wamejiandiksha 600 kituo cha kwanza kitakuwa na wapiga kura wangapi na cha pili kitakuwa na wapiga kura wangapi? haya nikusaidie mfeli hesabu wewe cha kwanza kitakuwa na wapiga kura 450 cha pili kitakuwa na 150 tu!!! hiyo assumption yako mbovu toka kichwa kibovu kilichokuwa kinalala wakati mwalimu wa hesabu anafundisha

maskini chadema hata hesabu ndogo hizi hamjui
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka wanasiasa na wagombea wanaodai kuwepo kwa vituo na wapigakura hewa kupeleka ushahidi na endapo wakishindwa kufanya hivyo hatua stahiki zitachukuliwa dhidi yao.

Akizungumza leo na waandishi wa habari Jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Tume hiyo, Dk.Wilson Charles amesema tuhuma hizo zinaleta kuzua taharuki kwa jambo ambalo si la kweli.

Aidha, amesema vituo vya kupigia kura ni vingi kuliko vya kujiandikishia kwa sababu kila kituo wameweka idadi ya wapigakura wasiopungua 500 ili kurahisisha zoezi la upigaji kura.

"Vituo vilivyotumika kuandikisha wapiga kura vilikuwa 37,814,na vituo vya kupigia kura ni 80,155, hii inatokana na kwamba kwenye kituo kimoja kilichotumika kujiandikisha kinaweza kutoa vituo vitatu kwa sababu kituo kimoja kinatakiwa kuwa na wapiga kura 450 hadi 500," amesema

Amewataka wagombea wa kiti cha Urais na Makamu wa Rais kuzingatia ratiba toleo la sita ya kampeni iliyotolewa na Tume.

Mkurugenzi huyo, amesema Tume imejiandaa vizuri katika uchaguzi huo na kwamba tayari vifaa vyote muhimu leo vitakuwa vimefika kwenye majimbo ya Tanzania bara na Zanzibar.

"Pia Tume inawataka wasimamizi wa majimbo wafikishe kuanzia leo vifaa kwenye vituo vya kupigia kura ili kusijitokeze dosari zozote kwenye uchaguzi ikiwemo kuchelewa kwa vifaa na kufunguliwa vituo," amesema.


IppMedia
Sasa hii habari mbona haijakamilika? hatujaona waliotoa tuhuma hizo kama wamehojiwa!
 
hesabu ulifeli wewe mfano eneo wamejiandiksha 600 kituo cha kwanza kitakuwa na wapiga kura wangapi na cha pili kitakuwa na wapiga kura wangapi? haya nikusaidie mfeli hesabu wewe cha kwanza kitakuwa na wapiga kura 450 cha pili kitakuwa na 150 tu!!! hiyo assumption yako mbovu toka kichwa kibovu kilichokuwa kinalala wakati mwalimu wa hesabu anafundisha

maskini chadema hata hesabu ndogo hizi hamjui

Wanasema kila kituo kitakuwa na wapiga kura 450-500, na sijasikia wakisema kuna vituo vitakuwa na chini ya hapo.
 
ok tying error umerekebisha sasa unasemaje kuhusu Mbowe ambaye anasema kaweka mawakala vituo 81,160 unampinga au? yeye naona yuko juu ya hesabu za tume na za kwako.Mumeanza kupingana wenyewe kwa wenyewe?

tume inasema kituo kisizidi 450 hadi 500 unaelewa maana yake ni hivi mfano kituoni waliojiandisha wako 500 maana yake kituo kimoja kitakuwa na watu 450 kingine kitakuwa na watu 50 au kituo waliojiandikisha wakiwa elfu moja maana yake vituo viwili vitakuwa na watu 450 kila kimoja na cha mwisho kitakuwa na watu 100

au kama kwenye kituo waliojiandikisha wako 70 maana yake hicho kituo kitakuwa na watu sabini hao hao sababu wako chini ya 450

Sio amri kuwa sehemu zote zina evenly distribution ya wapiga kura
Haya ni maelezo yako sio ya tume. Naona unalazimisha Mbowe Mbowe, hao tume mwanzo walikuwa wanasema vituo ni 81,000+, ila sasa wamebadilisha kuwa 80,155. Kama hawajaweka kwa uwiano huo ni juu yao kufafanua hilo na sio ww.
 
Haya ni maelezo yako sio ya tume. Naona unalazimisha Mbowe Mbowe, hao tume mwanzo walikuwa wanasema vituo ni 81,000+, ila sasa wamebadilisha kuwa 80,155. Kama hawajaweka kwa uwiano huo ni juu yao kufafanua hilo na sio ww.
Mbowe kaongea kuwa kaweka tayari mawakala 81160 kasema keshawaweka na keshokutwa wawahi vituoni ina afafanue hivyo vituo vyake vilivyozidi kuliko hata vya tume kwa vituo 1,045 hao mawakala wake waliozidi ni wa vituo vipi vya kura anataka kuwaibia wafadhili wanaolipa mawakala wa Chadema? Kuna ufisadi unapikwa viongozi wa kanda wa Chadema ombeni Listi za watu wa kanda zenu kisha hakikini taarifa za hao mawakala kama mnawajua maeneo yenu

Mbowe na Lisu wanataka kuibia wazungu na msifanye kila mtu peke yake wasilianeni mhakiki mawakala kuna wizi naunusa Lisu na Mbowe wanataka kuibia wazungu wakishirikiana na Godbless Lema na mchungaji Msigwa
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka wanasiasa na wagombea wanaodai kuwepo kwa vituo na wapigakura hewa kupeleka ushahidi na endapo wakishindwa kufanya hivyo hatua stahiki zitachukuliwa dhidi yao.

Akizungumza leo na waandishi wa habari Jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Tume hiyo, Dk.Wilson Charles amesema tuhuma hizo zinaleta kuzua taharuki kwa jambo ambalo si la kweli.

Aidha, amesema vituo vya kupigia kura ni vingi kuliko vya kujiandikishia kwa sababu kila kituo wameweka idadi ya wapigakura wasiopungua 500 ili kurahisisha zoezi la upigaji kura.

"Vituo vilivyotumika kuandikisha wapiga kura vilikuwa 37,814,na vituo vya kupigia kura ni 80,155, hii inatokana na kwamba kwenye kituo kimoja kilichotumika kujiandikisha kinaweza kutoa vituo vitatu kwa sababu kituo kimoja kinatakiwa kuwa na wapiga kura 450 hadi 500," amesema

Amewataka wagombea wa kiti cha uais na Makamu wa Rais kuzingatia ratiba toleo la sita ya kampeni iliyotolewa na Tume.

Mkurugenzi huyo, amesema Tume imejiandaa vizuri katika uchaguzi huo na kwamba tayari vifaa vyote muhimu leo vitakuwa vimefika kwenye majimbo ya Tanzania bara na Zanzibar.

"Pia Tume inawataka wasimamizi wa majikbo wafikishe kuanzia leo vifaa kwenye vituo vya kupigia kura ili kusijitokeze dosari zozote kwenye uchaguzi ikiwemo kuchelewa kwa vifaa na kufunguliwa vituo," amesema.


IppMedia
Sio kwamba wao ndio watoe ushahidi kuwa hakuna vituo hewa?
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom