Uchaguzi 2020 NEC yashindwa kuzitolea majibu Rufaa 16 za Wagombea udiwani wa CHADEMA Mbeya Mjini, Wananchi watinga kwa DED kuulizia

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,476
215,302
Niliwahi kuuliza humu JF kuhusu Wasifu wa Dkt. Mahera ambaye ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi , lengo la swali lile lilikuwa kufahamu uwezo na weledi wake na nadhani sasa mmeanza kujua maana ya maswali kama haya tunayouliza humu mitandaoni.

Sasa ni dhahiri kwamba Wilson Mahera hana uwezo wala hana uhuru wa kusimamia uchaguzi huru na wa haki , hii ni baada ya kuzikalia Rufaa 16 za madiwani wa chadema walioenguliwa kihuni na Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Mbeya Mjini ili kukibeba chama kilichokwisha cha ccm jimboni humo , mambo kama haya ya kijinga yaliyojaa uonevu , ndio yanayoharibu amani kwenye nchi nyingi duni za kiafrica , hadi naandika hapa hakuna rufaa hata moja kati ya hizo 16 iliyotolewa majibu , kama Mahera anabisha ajitokeze kukanusha.

Hapa chini naambatanisha video inayowaonyesha wakazi halisi wa Mbeya Mjini wakiomba dua kwenye ofisi ya msimamizi wa Uchaguzi huku wakitaka Majibu ya rufaa za wagombea wao.

 
Msije kushangaa kuwakuta madiwani waliokatwa kwenye karatasi ya kupigia kura ili kujikosha , huku Tume ikijua kwamba wagombea hao hawakufanya kampeni hata mara 1
 
Mabomu yameisha au?!!
Suluhisho si mabomu.
Huyo RPC wa huko hataki kazi sio!!?
 
Hakuna mwaka ambao Ccm wameshikwa pabaya, ndani na nje ya nchi kama mwaka huu. Nasema tena hakunaa!!
Niliwahi kuuliza humu JF kuhusu Wasifu wa Dkt. Mahera ambaye ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi , lengo la swali lile lilikuwa kufahamu uwezo na weledi wake na nadhani sasa mmeanza kujua maana ya maswali kama haya tunayouliza humu mitandaoni.

Sasa ni dhahiri kwamba Wilson Mahera hana uwezo wala hana uhuru wa kusimamia uchaguzi huru na wa haki , hii ni baada ya kuzikalia Rufaa 16 za madiwani wa chadema walioenguliwa kihuni na Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Mbeya Mjini ili kukibeba chama kilichokwisha cha ccm jimboni humo , mambo kama haya ya kijinga yaliyojaa uonevu , ndio yanayoharibu amani kwenye nchi nyingi duni za kiafrica , hadi naandika hapa hakuna rufaa hata moja kati ya hizo 16 iliyotolewa majibu , kama Mahera anabisha ajitokeze kukanusha.

Hapa chini naambatanisha video inayowaonyesha wakazi halisi wa Mbeya Mjini wakiomba dua kwenye ofisi ya msimamizi wa Uchaguzi huku wakitaka Majibu ya rufaa za wagombea wao.

View attachment 1608591
 
Yote yana mwisho ipo siku hawa CCM tutawanasisha kidude
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom