Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,585
- 217,973
- Thread starter
- #41
Mungu ibariki NigeriaSoon kitawaka kama Nigeria. Time will tell.
Mungu ibariki NigeriaSoon kitawaka kama Nigeria. Time will tell.
Akushitue kwani umezimia au?Akirudi tena nistue .
Hilo siwezi kushangaa. Walishawahi kumchagua Chacha Wangwe akiwa gerezani. Wananchi sio wa mchezo mchezoMsije kushangaa kuwakuta madiwani waliokatwa kwenye karatasi ya kupigia kura ili kujikosha , huku Tume ikijua kwamba wagombea hao hawakufanya kampeni hata mara 1
Akushitue kwani umezimia au?
Wa Mbeya au?Hivi wale wananchi bado wapo kwa ded?
YesWa Mbeya au?
Kalikuwa kakundi kadogo ka kinamama wameshaondoka!
Tundu hatoboi. Hata zile kura za waumini ambao walimhurumia zimetoweka baada ya kuwa anampigia amstadam kutusemelea watanzaniaKalikuwa kakundi kadogo ka kinamama wameshaondoka!