Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 847
Tume ya taifa ya uchaguzi imeleta mambo mapya yenye kuleta uwazi na ukweli kuliko nyakati zote zilizopita,ndio tunajua kuwa kumbe ile utaratibu wa kusafirisha masanduku ilikuwa kinyume cha sheria!.
NEC ya Jaji Lubuva imetoa agizo kuwa KURA zote zihesabiwe vituoni na matokeo yabandikwe ili mpiga kura wa eneo husika apate matokeo ya uchaguzi aliyoshiriki.
Hongereni sana Tume.Kumbe yule Marehemu Makame alikuwa anatibia?.Moto wa milele auguzwe kama hakutenda haki nyakati zake.
NEC ya Jaji Lubuva imetoa agizo kuwa KURA zote zihesabiwe vituoni na matokeo yabandikwe ili mpiga kura wa eneo husika apate matokeo ya uchaguzi aliyoshiriki.
Hongereni sana Tume.Kumbe yule Marehemu Makame alikuwa anatibia?.Moto wa milele auguzwe kama hakutenda haki nyakati zake.