Tunahuuru sana mwanasheria.
Afadhali umeliona hili.
Afadhali umeliona hili.
Mwenyekiti wa NEC amepiga marufuku jitihada za CHADEMA kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura huko Singida.
CHADEMA walikuwa wanatumia vipeperushi na matangazo ya magari kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi.
Kauli hii ya Mwenyekiti wa NEC inanishangaza kwani kila chama kina haki ya kuhamasisha wafuasi wake kujiandikisha na hiyo ndio kazi ya siasa.
Hii inatupelekea tuhisi Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina agenda ya siri maana katika hali ya kawaida Tume ingefurahi kwa vyama kufanya kazi ya uhamasishaji.